Magufuli kammaliza Mwakyembe, ataweza kuifuta TLS tena?

Nibozali

JF-Expert Member
Oct 15, 2016
572
1,055
Kuondolewa kwa Mwakyembe katika nafasi ya waziri wa sheria na katiba kunamuondolea nguvu ya kutimiza azma yake ya kuifuta TLS.

Angeweza kuifuta kwa kuzingatia pia atafukuzwa uanachama hivi karibuni. Sasa je kwa kubadilishiwa nafasi ataweza kuifuta tena ?
 
Kuondolewa kwa mwakyembe katika nafasi ya waziri Wa sheria na katiba kunamuondolea nguvu ya kutimiza azma yake ya kuifuta TLS.

Angeweza kuifuta kwa kuzingatia pia atafukuzwa uanachama hivi karibuni. Sasa je kwa kubadilishiwa nafasi ataweza kuifuta tena ?

Leo sio Mwakyembe kufuta TLS, lengo ni KUIFUTA TLS.
 
Back
Top Bottom