Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Katika kuonyesha kwamba jengo la Tanesco Ubungo ni kisiki kwake, Bwana Magufuli leo bungeni ameendelea kuthibitisha na kulalamika kwamba linastahili kubomolewa na inaonekana hana uwezo wa kuhakikisha linabomolewa zaidi anaishia kulalamika tu, eti kuna watu wanazuia lisibomolewe, ni nani hao kama si wao wenyewe?