Magufuli! Jengo la TANESCO Ubungo ni kisiki na udhaifu mwingine kwake?

Feb 9, 2012
65
15
Katika kuonyesha kwamba jengo la Tanesco Ubungo ni kisiki kwake, Bwana Magufuli leo bungeni ameendelea kuthibitisha na kulalamika kwamba linastahili kubomolewa na inaonekana hana uwezo wa kuhakikisha linabomolewa zaidi anaishia kulalamika tu, eti kuna watu wanazuia lisibomolewe, ni nani hao kama si wao wenyewe?
 
Kumbe jamaa ana ubavu wa kuamlisha tu watu kupiga mbizi kama hawataki kulipia tsh 200. Au naye ni dhaifu?
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
 
Ninamsikiliza Magufuli, ingawa yeye ni mmoja wa magamba, nadhhani ulichokiandika ni maoni yako. Nimemsikia, kaeleza vizuri sana kama waziri na msimamizi wa sheria husika.
 
Kwa nini wanataka kubomoa hilo jengo?

Tanzania nzima wamekosekana wabunifu kuhakikisha barabara inajengwa bila kubomoa hilo jengo la Tanesco?

Kama na Dr Rais nae anaamini kuwa barabara haiwezi kuendelezwa hadi hilo jengo libomolewe basi kuna tatizo la msingi katika suala la upembuzi yakinifu, ubunifu na utatuaji wa matatizo.
 
Aisee leo Ni kufukua makaburi tu!
duuuu miaka mitano imepita......
 
Kwa nini wanataka kubomoa hilo jengo?
Tanzania nzima wamekosekana wabunifu kuhakikisha barabara inajengwa bila kubomoa hilo jengo la Tanesco?

Kama na Dr Rais nae anaamini kuwa barabara haiwezi kuendelezwa hadi hilo jengo libomolewe basi kuna tatizo la msingi katika suala la upembuzi yakinifu, ubunifu na utatuaji wa matatizo.


7be552427fbcd31ef3df2d59c569d6bf.jpg



b68737de6fe15a0ac38154c090eb4ac5.jpg


fb_img_1510917811090-jpg.632242


C&P JamiForums
 
Katika kuonyesha kwamba jengo la Tanesco Ubungo ni kisiki kwake, Bwana Magufuli leo bungeni ameendelea kuthibitisha na kulalamika kwamba linastahili kubomolewa na inaonekana hana uwezo wa kuhakikisha linabomolewa zaidi anaishia kulalamika tu, eti kuna watu wanazuia lisibomolewe, ni nani hao kama si wao wenyewe?
Hatimaye analishusha
 
Back
Top Bottom