Sonia G
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 3,081
- 3,940
italiwa hiyo tukaishiwa kupewa porojo kodi nyingi wanatukata, bandari zetu pekee zikiendeshwa vizuri sie umaskini tutakuwa tunaangalia BBC tu ukoTUNASUBIRI na wengine kuanzia makatibu wakuu, manaibu, Wakurugenzi wakuu na wengine bila kusahau wafanya biashara wakubwa na wadogo kushiriki ktk hili.
NATAMANI RC angetoa line za simu kila mtandao kila mtu achangie hata mwenye shs moja.
Kila mwana DSM let us say watu milioni 4, kila mmoja AKITOA minimum shs 500 imagine tutapata shs ngapi??
i.e Tshs 2 bil. Je kwa hizo hatujatatua kero za Hosp na shule????
Queen Esther
E