Magufuli hatambuliki E.A.C?

Nani kachomwa kisu!? Nani kauwawa!? Hivi unaujua ubabale wewe?
Ila ipo siku mtakuja kuuona ubabe hasa ndipo mtakapojua kuwa mlikua kwenye nafasi nzuri sema nyie wenyewe mmeichezea

Ndugu tuko 21st century sio lazima mtu kuchomwa kisu, auwawe ama awekwe gerezani.... Kilichofanyika Zanzibar ni nini kwa mfano? Huo ni muendelezo wa ninachosema ni ubabe.
 
Ujio wao siku ya kuapishwa its enough support
 
Stop smoking weed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…