masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Serikali ya CCM awamu ya tano imeingia na gia kubwa ya kutokomeza ufisadi bila kujali uso wa fisadi.
Mafisadi wengi wako humu humu ndani ya serikali na chama tawala, na hata nje ya chama.
Tulimuelewa vizuri Magufuli aliposema tumuombee, maana kikulacho ki nguoni mwako.
Upinzani mkubwa tunaouona wa mafisadi kupitia CHADEMA na UKUTA wao si bure.
Hawa mafisadi wengine wakiongozwa na watu kama Lowassa, mirija yao kuingia mifuko ya hazina imekatwa.
Safari za ulaji nje ya nchi, wafanyakazi hewa, ulaji wa ushuru wa bandarini ni kati ya machache tu yaliyodhibitiwa.
Hii dhana ya UKUTA ni kilio tu cha kisiasa kwa mafisadi kupitia CHADEMA kurusha michanga mchoni kupoteza malengo ya maendeleo.
Ni mbinu ya kuleta fujo, mifarakano na kutoelewana ili azma ya maendeleo iliuoainishwa wakati wa kampeni yasitekelezwe.
Wananchi tulio nyuma yako Mgufuli tunakuombea na kukupa moyo uendelee kuwadhibiti hawa wana 'UKUTA kwa nguvu yoyote ile.
Na haiwezi kushindikana kuwadhibiti maana hata sisi wananchi tunaweza kuwadhibiti mitaani tukipewa jukumu hilo.
Tunataka reli, barabara, umeme wa uhakika ili ahadi ya viwanda tuliojiwekea itekelezwe bila ujinga wa kisiasa uitwao UKUTA, wenye nia ya kuua azma hiyo.
Mafisadi wengi wako humu humu ndani ya serikali na chama tawala, na hata nje ya chama.
Tulimuelewa vizuri Magufuli aliposema tumuombee, maana kikulacho ki nguoni mwako.
Upinzani mkubwa tunaouona wa mafisadi kupitia CHADEMA na UKUTA wao si bure.
Hawa mafisadi wengine wakiongozwa na watu kama Lowassa, mirija yao kuingia mifuko ya hazina imekatwa.
Safari za ulaji nje ya nchi, wafanyakazi hewa, ulaji wa ushuru wa bandarini ni kati ya machache tu yaliyodhibitiwa.
Hii dhana ya UKUTA ni kilio tu cha kisiasa kwa mafisadi kupitia CHADEMA kurusha michanga mchoni kupoteza malengo ya maendeleo.
Ni mbinu ya kuleta fujo, mifarakano na kutoelewana ili azma ya maendeleo iliuoainishwa wakati wa kampeni yasitekelezwe.
Wananchi tulio nyuma yako Mgufuli tunakuombea na kukupa moyo uendelee kuwadhibiti hawa wana 'UKUTA kwa nguvu yoyote ile.
Na haiwezi kushindikana kuwadhibiti maana hata sisi wananchi tunaweza kuwadhibiti mitaani tukipewa jukumu hilo.
Tunataka reli, barabara, umeme wa uhakika ili ahadi ya viwanda tuliojiwekea itekelezwe bila ujinga wa kisiasa uitwao UKUTA, wenye nia ya kuua azma hiyo.