jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
Watanzania tumemshuhudia rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania ametuambia bayana kuwa mfumo wa utawala ulikuwa dhaifu sana!!!
"unaondoaje hisa za serikali kwenye makampuni na kuikosesha serikali mapato (dividend)"
Mnyika John Mb. Alimtuhumu kikwete kwa udhaifu wa kuisimamia serikali yake hadi kuzalisha wafanyakazi hewa, mikataba mibovu mingine akiirithi kutoka kwa mkapa na akashindwa kuirekebisha.
Wakati akifanya hivyo naona magufuli akikata tawi alilolikalia!!!!!!
"unaondoaje hisa za serikali kwenye makampuni na kuikosesha serikali mapato (dividend)"
Mnyika John Mb. Alimtuhumu kikwete kwa udhaifu wa kuisimamia serikali yake hadi kuzalisha wafanyakazi hewa, mikataba mibovu mingine akiirithi kutoka kwa mkapa na akashindwa kuirekebisha.
Wakati akifanya hivyo naona magufuli akikata tawi alilolikalia!!!!!!
