Magufuli awakonga nyoyo Afrika Kusini

Magufuli awakonga nyoyo Afrika Kusini

Waterloo we nadhani bado uko kwenye nyakati za kampeni,hata uchaguzi haujafanyika na matokeo kutangazwa ndiyo maana kila afanyacho mh rais wewe hukioni na ndiyo maana unapinga tuuu,haya bwana wewe endelea kubaki huko huko na kushabikia watu wanaong'ang'ania maiti za watu kutafuta umaarufu wa kisiasa,laiti marehemu angekuwa ndugu yangu asilani nisingeruhusu ujinga na upuuzi huo wa kumhangaisha marehemu,vifo vingapi vilishatokea na kuleta mizengwe ya kipuuzi,ahadi lukuki mbele ya kadamnasi lkn baada ya maziko kila mtu anatimka zake.
 
Magufuli kaja kuwaumbua watawala wa kiafrika wengi sana, kawachonganisha na wananchi wao tu sasa
 
Mkuu Nakuomba Tupunguze Kidogo UKALI Wa Viingereza Vyetu Kwani Humu Kuna Watu Kama nifah, kadoda11 na Mussolin5 Hakika TUMEWAACHA Na Hawatajua Nini Tumeandika Hapo Mkuu Na Ukizingatia Kuwa Viingereza Vyao Vyote Hao WAMEJIFUNZIA Hapo Makumbusho / Mwenge Kwa Ras Simba. Watanzania Ukiwaandikia Kwa Kiingereza Ni Sawa Na Kuwaambia Wakaogelee Mto Rufiji Wenye Mamba Na Viboko Wengi. Acha Tu Hii Lugha Ibaki Huku Kwetu Rwanda, Kenya Na Uganda Tu Kwani Ndiyo Pekee TUNAOIJUA IPASAVYO Kwa Kuizungumza Na Kuiandika. Naomba Wale WATANZANIA Wote Mtakaopandwa Na JAZBA au HASIRA Na Hiki Nilichokisema Hapa ILI Niamini Kweli Mnajua Kiingereza Basi Mnijibu Kwa Kiingereza Na Hakika Atakayepatia au Kunikosha Nitampa Zawadi Nzuri. Nazisubiri Kwa Hamu Sana Responses Zenu.

unatuchukulia sisi vilaza sana wewe mzee wa Darfur?
 
I consumately concur; or as Senator Patrick Obahiagbon would put it: We must halt this ludicrously lugubrious kakistocracy. It is high time we demur against demuren (no onomatopoeic extrapolation intended). Because the country was on a precipice of apocalyptic crepscule. This jiggery pokery and paraplegic crinkum cankum that characterizes the post-election UKAWA is, to say the least, both sardonic and misanthropic.

Aione Kiranga for verification
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Nakuomba Tupunguze Kidogo UKALI Wa Viingereza Vyetu Kwani Humu Kuna Watu Kama nifah, kadoda11 na Mussolin5 Hakika TUMEWAACHA Na Hawatajua Nini Tumeandika Hapo Mkuu Na Ukizingatia Kuwa Viingereza Vyao Vyote Hao WAMEJIFUNZIA Hapo Makumbusho / Mwenge Kwa Ras Simba. Watanzania Ukiwaandikia Kwa Kiingereza Ni Sawa Na Kuwaambia Wakaogelee Mto Rufiji Wenye Mamba Na Viboko Wengi. Acha Tu Hii Lugha Ibaki Huku Kwetu Rwanda, Kenya Na Uganda Tu Kwani Ndiyo Pekee TUNAOIJUA IPASAVYO Kwa Kuizungumza Na Kuiandika. Naomba Wale WATANZANIA Wote Mtakaopandwa Na JAZBA au HASIRA Na Hiki Nilichokisema Hapa ILI Niamini Kweli Mnajua Kiingereza Basi Mnijibu Kwa Kiingereza Na Hakika Atakayepatia au Kunikosha Nitampa Zawadi Nzuri. Nazisubiri Kwa Hamu Sana Responses Zenu.

Kiingereza sio ishara ya maendeleo, na zaidi kiingereza kisichoeleweka. Kukitukuza ni kujiteremsha tu. Sisi tunamihangaikia kwa kuwa tulitawaliwa. Wachina, wajapani, wajerumani n.k. Hawakihangaikii. Vyui vyao vinafundisha kwa lugha yao
 
Back
Top Bottom