Magufuli aonyesha ukakamavu zaidi ya Lowassa

Magufuli aonyesha ukakamavu zaidi ya Lowassa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa moja ya mikutano yake ya kampemi .​
 
Nilimuona kwenye TV jana...ana mikwara si mchezo....
Hata kutembea ni kijeshi zaidi...

Atakuwa rais wa aina yake....full burudani hadi raha....hata kama umenuna unacheka tu
 
Hata huyu nae ni mkakamavu
 

Attachments

  • 1444213726563.jpg
    1444213726563.jpg
    49.6 KB · Views: 1,727
Tuanhitaji kiongozi wa nchi siyo mkuu wa kikosi cha jeshi. Push-up zake au kukimbia mchakamchaka hakutatuondolea umasikini watanzania
 

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akikimbia kuonesha ukakamavu kwenda jukwaani kujinadi wakati wa moja ya mikutano yake ya kampemi .​

Mbwembwe hizo tunahitaji sera sio matukio, lowassa yuko vzr
 
Safi sana.

Rais Magufuli yuko ngangali
 
Rais Magufuli matawi ya juu baba ake.

Yuko fiti
 
Back
Top Bottom