Magufuli anza na TANESCO

Magufuli anza na TANESCO

Mnakumbushwa tu, magufuli ameshaapishwa mwendo ni uleule, umeme utakatwa saa kumi na moja asubui kurudi saa saba usiku:what: na ninavyochangia hapa tayari archuga wameshauchukua:what:
 
alafu mbona zile washa washa kama vile zinafaa kwnye kilimo cha umwagilaji,

Ha ha ha ha dah you have made my day
Nmecheka lol, kuliko kuyapaki bora yaingie shambani, af samia si aliahidi kilimo cha umwagiliaji wa ubuyu....yapelekwe dodoma
 
Back
Top Bottom