Kuna watu wanajaribu kuhujumu utawala huu wa Magufuli. watashugulikiwa haraka iwezekanavyo
Mbona unajishtukia!elewa mzigo aliyopewa mr makomeo ni mzito ndomana kumuita tb Joshua kwanza aje andoe madudu white nyumba
Ovaaa
Akimaliza tanesco ahamie deni la wahindi magari 777
Akimaliza tanesco ahamie deni la wahindi magari 777
kumbe tunadaiwa
Haya magari 777 ya polisi ya washa washa na mengine yauzwe haraka sana hiyo pesa itakayopatikana wapewe wanafunzi wa elimu ya juu kama mikopo ya masomo.
Ha ha ha yapigwe mnada nini teh nami ntanunua washa washa 2
Unataka kuanzisha polisi yako haha haha
Maneno haya hutumiwa na watawala kama kichaka cha kukwepa majukumu. Unaomba kura uingie madatakani, unapewa madaraka halafu unaanza kusema unahujumiwa. Hao wahujumu wana nguvu kuliko mamlaka yako? Sasa uliomba madaraka ili ufanyeje, kuweka historia tu?Kuna watu wanajaribu kuhujumu utawala huu wa Magufuli. watashugulikiwa haraka iwezekanavyo
Ha ha ha yapigwe mnada nini teh nami ntanunua washa washa 2