Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 346
Magufuli angekuwa maarufu ndani ya muda mfupi, angekuwa nuru ya Africa, na angetambulika duniani kwa sifa njema.
Wananchi bila kujali itikadi walimpenda, na wangempenda zaidi na zaidi.
Lakini kuna watu hawakulipenda hilo, wakafanya hila, wakamfitinisha na wananchi wake !
Wananchi bila kujali itikadi walimpenda, na wangempenda zaidi na zaidi.
Lakini kuna watu hawakulipenda hilo, wakafanya hila, wakamfitinisha na wananchi wake !