The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,232
Niseme tu pamoja na mapungufu mbalimbali ya awamu ya tano
lakini lile la Magufuli 'kurekebisha haraka' uteuzi wa Maswi TRA lilinifurahisha sana
Angalau 'uthubutu' wa kurekebisha kwa haraka bila kuogopa 'wakosoaji'
tutasema nini....ulionekana....na kusaidia 'maslahi ya Taifa'
Sasa kuna haya mawili huko TRA nashindwa kuelewa why Magufuli
na serikali yake kwa ujumla hawayaoni kuwa yanahitaji
'marekebisho ya haraka saana'.....bila kuchelewa
La kwanza ni kosa la kutangazia wafanyabiashara mashine za EFD zitatolewa bure
huku bajeti yake kumbe ni kubwa saana na haikuwa tayari....
Leo Kaimu Kmishna wa TRA ni kama alikuwa 'anajikanyaga' kuhusu hiyo issue
na mwishowe anakuja kusema hizo mashine zitatolewa bure kwa wafanyabiashara
wa chini tu....ina maana sio bure tena kama ilivyo tangazwa
Ni vizuri Rais akaisaidia TRA kwa 'kubadili maamuzi'
mashine zile ziuzwe tu lakini itazamwe bei.....ikiwezekana
hizo mashine kuwe na supplier zaidi ya mmoja
waziuze direct tu kwa wafanyabiashara
au serikali iruhusu kampuni nyingi sana zishindane kuwauzia
wafanyabiashara........hii itasaidia TRA na serikali kiujumla
La pili ni kuendelea kuwa na 'kaimu kamishna' hapo TRA...
kwa nafasi yake hapo TRA kukaimu tu sio sawa
atashindwa kufanya maamuzi yoote yanayotakiwa kufanya
atashindwa kusema ukweli iwapo wanasiasa wataleta maamuzi ya kisiasa
ili tu 'asije kosa hiyo nafasi'
Ili Kamishna aweze kufanya maamuzi yanayotakiwa ikiwemo na kusema
ukweli kwa uhuru kipi sahihi na kipi sio sahihi ni vizuri ateuliwe haraka...
haya maamuzi yafanyike haraka....kuchelewa ni kuifanya TRA ilegelege....
lakini lile la Magufuli 'kurekebisha haraka' uteuzi wa Maswi TRA lilinifurahisha sana
Angalau 'uthubutu' wa kurekebisha kwa haraka bila kuogopa 'wakosoaji'
tutasema nini....ulionekana....na kusaidia 'maslahi ya Taifa'
Sasa kuna haya mawili huko TRA nashindwa kuelewa why Magufuli
na serikali yake kwa ujumla hawayaoni kuwa yanahitaji
'marekebisho ya haraka saana'.....bila kuchelewa
La kwanza ni kosa la kutangazia wafanyabiashara mashine za EFD zitatolewa bure
huku bajeti yake kumbe ni kubwa saana na haikuwa tayari....
Leo Kaimu Kmishna wa TRA ni kama alikuwa 'anajikanyaga' kuhusu hiyo issue
na mwishowe anakuja kusema hizo mashine zitatolewa bure kwa wafanyabiashara
wa chini tu....ina maana sio bure tena kama ilivyo tangazwa
Ni vizuri Rais akaisaidia TRA kwa 'kubadili maamuzi'
mashine zile ziuzwe tu lakini itazamwe bei.....ikiwezekana
hizo mashine kuwe na supplier zaidi ya mmoja
waziuze direct tu kwa wafanyabiashara
au serikali iruhusu kampuni nyingi sana zishindane kuwauzia
wafanyabiashara........hii itasaidia TRA na serikali kiujumla
La pili ni kuendelea kuwa na 'kaimu kamishna' hapo TRA...
kwa nafasi yake hapo TRA kukaimu tu sio sawa
atashindwa kufanya maamuzi yoote yanayotakiwa kufanya
atashindwa kusema ukweli iwapo wanasiasa wataleta maamuzi ya kisiasa
ili tu 'asije kosa hiyo nafasi'
Ili Kamishna aweze kufanya maamuzi yanayotakiwa ikiwemo na kusema
ukweli kwa uhuru kipi sahihi na kipi sio sahihi ni vizuri ateuliwe haraka...
haya maamuzi yafanyike haraka....kuchelewa ni kuifanya TRA ilegelege....