Magufuli amtia presha Lowassa

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
 
Lazima usingize umkate,jamaa yupo vizuri balaaa
 

Kwa kweli katika kipindi ambacho kimekuwa kigumu katika maisha ya Lowasa hakuna kama sasa: Bora hata alivyoenda "vitani" hakukutana na hali ngumu kama sasa, Nasikia hata kama anakula mtu akitamka tu "Magufuli" anasita kula kwa muda na kuangalia kulia na kushoto halafu ndio anaendelea kula. HAPA KAZI TU.
 
Mi nafikiri lowasa jamaa wangetafuta gea,wamdanganye kuwa magufuli kajiuzulu!ili jamaa aweze kufanya kampeni bila presha,kule kutetemeka jukwaan inaweza kuwa ni mawazo tu pombe magufuli,maana nae huyu jamaa kama wewe si msafi,jina lake tu unaweza banwa na haja ...
 


Hofu inazidi kumtanda Makufuri, kwan Edo akiingia madarakani lazima aeleze umma ufisadi alioufanya kwenye Ujenzi wa barabara kwa kuiba mita moja, si hilo tu hofu aliyonayo ni kurudishwa nyumba za serikali anahofu ya wale ndugu zake na demu wake kupokonywa nyumba walizojimilikishia kiujanja janja!

Msijipongeze kuna mengi tua ambayo Makufuri anawaza Na hapati jibu, ununuzi wa meli feki, hasara ya kukamata meli ya samaki kwa jeuri bila kufuata taratibu, yaani nyie acgeni Makufuri anashida kuliko mnavyosema! Time will tell subiri mtaona.
 

Lowasa hauwez mzik wa magufuli
 


neno la mwisho linanikumbusha geita...acha usiendelee wenzio tunakula huku.
 
Na presha ndiyo ilomfanya Magufuli akanywe kikombe kwa babu wa Loliondo..

Lowasa ni chaguo la Mungu.

Usiritaje bure jina la Mungu
Lowasa n fisad
haliwez kuwa chaguo la mungu

Magufuli anatosha
 

Nasikia anajilaum kuihama ccm
Bila shaka atarud baada ya uchaguz
 

mtoa mada ebu tuambie ni lini umewahi kulala bila kumuwaza lowassa?
Ni lini umewahi kukaa dakika tano bila kuwaza lowassa?
Ni lini wanaccm wamefanya mkutano wowote wa kampeni bila kumtaja lowassa?
Wenye presha ni ninyi ambao mnamtaja lowassa zaidi mnavyomtaja mungu anayestahili kutajwa mara kwa mara....
 

Vice-versa is true!! ccm hamlali kwasababu ya El! Subirini tar25
 

Usitudanganye kwasasa Lowasa anawaza MAHAKAMA YA UFISADI itaundwa muda sio mrefu na lazima mamvi akaoge mvua za kutosha.
 
Na presha ndiyo ilomfanya Magufuli akanywe kikombe kwa babu wa Loliondo..

Lowasa ni chaguo la Mungu.
Ndiyo maana Mungu alijificha vinginevyo angewaumbua sana watu kama nyie, unauhakika gani amepata kibali cha Mungu huyo uliyemtaja hapo? Vuta subira chaguo la Mungu atajulikana atakapoapishwa mshindi uwanja wa TAIFA.
 

Kwa ufisadi wa kutisha alioyufanyia

Kwa tukio la geita la kujinyea

Na maigizo anayoyafanya
kwakweli usipomuwaza lowasa nenda kapimwe akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…