Magufuli amekosa exposure

Wewe mleta mada ni pumbavu sana. Eti umefika Manhattan 2002 ukajiona umemaliza kabisa. Watu wameanza kufika huko USA na Europe early 60s, 70s,80s wakafanya kilichowapeleka na kurudi kujenga nchi Tanzania. Vijana Kama wewe mlioenda Marekani kwa Scout na Camp Mna matatizo sana. Status yako ikoje hapo ulipo!!?? Ulipofiwa uliweza kurudi Bongo!? Acha ulimbukeni kijana. Mh Rais haihitaji exposure kwa kuja Manhattan au Chicago...After all sisi Watanzania tunahitaji Maendeleo na huduma bora za Afya na Jamii kwa kila Mtanzania. Hayo mambo ya Exposure peleka Big Brother au kwenu Mpitimbi. Bado unatongoza visichana vya Chuo Facebook kwa kutumia Exposure ya kufika manhattan mwaka 2002!!!!???? Ama kweli Ushamba mzigo!!!
 
 
Aende Botswana kuna Rais wao aliyepita Quett Masire yule aliwakomalia wazungu ,50/50 kwenye diamond na hawalimi wala hawavuni diamond huwalisha
 
HOJA yako halmanusura iwe na maana lakini,ulipoanza kuingiza yale unayoyashangaa ulaya na kuyaabudu na kutaka rais afuate sala yako hapo ndo nimekuona huna hoja nzito sana,ila inaonekana unaamini maendeleo kupitia akili za wengine na hasa wazungu hapo tumepishana pole
 
Ni watu wngapi wana hiyo exposure ba bado kimaisha wamechapika tu, au wewe eposure ni kwenda ulaya tu kushangaa magorofa, mbona wazungu pia hawana eposure lakini maisha yao yanasonga....
 
nitake radhi mimi sio kijana mwenzio
 
hapo ndio msingi wa hoja yangu bora tupishane tuelimishane,hivi wewe una tecnology ipi ya kujivunia uliyobuni mwenyewe unaweza kujenga kiwanda kipi bila ushirikiano na hawa ngozi nyeupe,siwaamini ila najua na nakubali wametuzidi kitecnology hilo liko wazi
 
Kwa sisi Watanzania tunachokiona sasa kwa Mh. JPM na unachotuandikia wewe ni sawa nakutuambia kua Nyerere, Mwinyi,Mkapa na Kikwete walienda nje kupata exposure ya kuiharibu Tz na kuwadidimiza Watanzania,

Nasema hivi kwasababu huyu asiekua na exposure ya Ulaya anatusaidia sisi watanzania kuliko hao waliotembea Ulaya yote.

Go Magufuli Go, hamna cha wazungu wala nini, dhamira inatosha kutukomboa siyo lazima hao.
 
Ni watu wngapi wana hiyo exposure ba bado kimaisha wamechapika tu, au wewe eposure ni kwenda ulaya tu kushangaa magorofa, mbona wazungu pia hawana eposure lakini maisha yao yanasonga....
sijasema kushangaa maghorofa bali kujifunza wamefikafika je huko
 

Technology inauzwa, tukiwahitaji tutawafuata kuchukua, hakuna sehemu Rais kasema watu wasiende soma nje, hajakataa kuongea nao chchte ila Mimi na wewe hatuez mchagulia aongee na huyu au yule. Naamini ikulu ina washauri wazuri tu so hatuna haja ya kumlaumu JM
 
ndugu yangu nyie ndio mnampotosha JPM ,mi sio shabikiwa donald trump ila tuwe wakweli bado hatujawa na uwezo wa kutamba bila wao,hapo mpaka nguo ya ndani umevaa ya kutoka china ,simu unayotumia ya kwao,kiti umekalia cha kwao,una nini cha kujivunia made in tanzania
 
nitake radhi mimi sio kijana mwenzio
Ungekuwa sio kijana usingeandika huo Upuuzi wa Exposure ya kufika Manhattan mwaka 2002. Sikutaki radhi mpaka utakapomtaka radhi Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kebehi na dharau uliyomuonyesha wewe muuza Pizza wa Papa John.
 
Sikatai ila hao tangia wawekeze wameacha technology gani kama huko migodini je niwa Tanzania wangapi wanaruhisiwa kupata hyo knowledge wanayoitumia ka sikuajiri experts kutoka nchini kwao na Watanzania kuwa vibarua tu. Nenda huko gesi ilipovumbuliwa ka kuna Mtanzania ana ruhusiwa kijua kinachoendelea. China, Singapore, Taiwani, south Korea tulikua almost the same ila nao wametuacha mbali. Wale walirndeleza internal capability, innovation na Ku ji invest kwenye elimu na kupata experts. Ili kuendelea lazima tuendeleze wazawa kwa kuwazesha. Na tutumie foreign experts kubenefit nchi sio makampuni yao
 
amalize exposure ya vijijini tanzania ndiyo atoke nje..
 
Kwahyo aende US, China kufanyaje labda zaidi ya kutembeza bakuli. Bila kujijenga ki ndani na kuimarisha mambo ya ndani ka elimu, miundo mbinu hata ahamie China nothing will change sasa nyie waumini wakuwa dependence ndo mnataka awe mzururaji mbona mlikuwa MNA mnanga mkwere
 
Na hilo la mwisho unalo dai hutaki kuliongelea sana ndio hasa target yako umezunguka weee!.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…