magu sam
Member
- Jul 20, 2018
- 62
- 50
Serikali ya JOHN Pombe Joseph Magufuli iliahadi wakati wa uchaguzi 2015. Na haya ni baadhi ya mafanikio ya JPM,
- Ujenzi wa Reli ya kisasa (SGR )
- Ujenzi wa bwawa la umeme Stigler George
- Ujenzi wa Mfugale fly over (TAZARA).
- Elimu bure kuanzia Shule ya Msingi mpaka Sekondari
- kafufua shirika la ndege ATCL
- Kudhibiti rushwa ya hongo za teuzi
- Ujenzi wa viwanda vipya zaidi ya 3000 nchi nzima.
- Ongezeko la zaidi ya Tsh. Bilioni 107 la makusanyo mapya ya madini nchini.
- Ongezeko la vituo vya afya vipya zaidi ya 93 vya upasuaji nchini.
- Bajeti ya mikopo ya elimu ya juu imeongezeka kwa takribani Tsh. Bilioni 80
- kuzuia safari za nje zisizo za lazima
- Ujenzi wa hostel za udsm
- Misharaha ya watumishi inalipwa kwa wakati
- Ongezeko la zaidi ya asilimia 39.5 la idadi ya Wananchi waliofikiwa na huduma ya umeme.
- Hadi kwenye michezo tunaenda AFCON
- Magufuli ametosha kabisa na Tanzania iko salama mikononi mwako.