Kama wewe ni mwana maombi ungana nami kumuombea Magufuli, kifo kikaepushiwe mbali. Naomba wana maombi tushirikiane pamoja tafadhali. Mungu wa mbingunibatuepushie hili
Habari nzuri iliyotufikia ni kwamba baba na mama wa mtoa uzi huu Kiraka Kikuu mjukuu wa Kibaka Mkubwa wamefariki kwa kupigwa na watu wenye hasira baada ya kuiba kuku na mahindi.
Tuache Mihemko,Kama ni kweli anamaanisha ni Rais Magufuli amekufa basi aedit na kuandika Rais John Pombe Magufuli..Mtoa mada punguza Upumbavu..Rais niko naye hapa na ni mzima.