kalokolaVIII
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 396
- 183
Naona kuna ligi hapa!
nitajitahidi kukusoma vizuri zaidi labda nitakuelewa unataka kumaanisha nini...
Mr. Kiranga,
nimegundua kuwa namna yako ya kufikiri ni application ya knowledge yako ya sociology and political science na ndio maana neno "populism" linakusababishia urticaria na unataka tu adopt statism ili watu waliosoma siasa waweze kuamua kwa niaba ya wale ambao hawakusoma siasa - people versus èlite.
Mimi nina mtazamo tofauti na wewe, ninabaki na mtazamo wangu na wewe baki na mtazamo wako by the way tofauti ya mawazo ndio inayotufanya tuishi vizuri na kwa mafanikio just fikiria kama sisi wote tungekuwa na mtazamo mmoja - waht ana annoying situation!!
Politically fikiria kama sisi wote tungekuwa CCM, au wote CHADEMA, au CUF ahahah
so as far as I'm concerned I call it a topic - nimefurahi sana kuwa na mjadala nawe na ninakutakia siku njema.
take care bro!!
Mr. Kiranga!
Personally I don't have what you call "oxford Dictionary of Sociology...political science"
I'm, a senior medical Officer,if that can help, anyway I dont think if in order to know the meaning of a "protein" one should consult the biological dictionary or to know what is a "rock" one should go for a geological manual nevertheless if I ask you what is malaria you dont have necessarily to consult the medical dictionary - do you??? I'm afraid we're becoming ridiculous and people are no longer enjoying the argument...
I'm afraid!!
Hillel The Elder said, "If not now, when?". Inakuwia vigumu kunielewa kwa sababu unaenda kwa kukariri na copy paste wakati mie nachanganua vitu dynamically.
leo maguri kasema anaonekana anatafuta umaarufu wa kisiasa,sasa mlitaka afanyaje kama njia nyingine zimeshindikana?
Unaweza kwenda Urbandictionary.com ukaambiwa definition ya protein ni manii, ukaenda dictionary ya biolojia inayotambulika wakakuchanulia tangu protein inavyofanyika. That's the difference between myself and you.
Magufuli siyo Jembe bali hiyo ndiyo style yake ya kung`arisha jina lake ili wananchi wamuone yeye ndiyo mkweli na mchapakazi pekee. Hakuna ambacho huyu Pombe hakijui juu ya ukata unaoikabili hazina.
Wengine watasema amefanya vizuri kwa kuwa muwazi na labda hili litasaidia kufanya mambo yaende kasi.
Wengine watasema this is undiplomatic, haheshimu collective responsibility, na alikuwa na njia nyingi tu za kuongea na Mkullo moja kwa moja, anatengeneza tension inayoweza kuleta confrontation.
I doubt - Inawezekana Pombe anajitafutia umaarufu wa kisiasa!
Umepewa mifano ya Tanzania pia, umepewa mifano ya Malecela, Msuya, Mramba walivyokuwa hawakumbatii populism.
Kuna wengine wanamjua Ron Paul, kama ambavyo si kila Mtanzania anamjua Ron Paul, si kila Mtanzania hamjui Ron Paul pia. Na kama humjui labda point ya forum hii ni kubadilishana ujuzi, huu ndio mda wa kuperuzi peruzi kumjua kwani wakati wwowote baada ya uchaguzi wa 2012 anaweza kuwa rais wa Marekani, na penda usipende foreign policy ya Marekani itaathiri mabo fulani Tanzania.
Ulimwengu wa utandawazi huu huwezi kujificha chini ya jiwe useme tuzungumze Tanzania tu, utalia.
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa, alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali, alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO
Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.
Kama wafanyavyo mabunge ya wenzetu wanaoheshimu wapigakura wao!Kilichobaki ni kutiana ngumi tu. Mengi tumekwishayaona.
what do you mean by "populist"??? this terminology is highly abused in the west and now I see even in Tanzania. Have you ever known any, I underline ANY,politician who is not POPULIST??? Let's forget about demagogy and cheap rhetoric thence call a spade a.......SPADE!!!
all politicians are populist(S)...period!!!!!