Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
"Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa," alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
"Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali," alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO
Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.
Duh,
Ushawabatiza majina "Msevi" na "Maguri".
Serikali inayoendeshwa kwa rais kufokeana na waziri in the open kama watoto haina discipline wala collective responsibility. Kimsingi serikali yote inatakiwa kufanya kazi kama kitu kimoja, serikali ya CCM. Sasa tukiona Waziri mmoja anamtupia lawama mwingine sisi hatujui cha Magufuri wala Mkullo, tunachoona ni kwamba serikali ya CCM inashindwa kazi.
Magufuri kwa upande mmoja yuko sawa, kwa sababu sijui kachukua hatua gani mwanzo huko, huenda kashindwa kote kaona amshitaki kwenye court of public opinion.
Lakini typically haya ni mambo ya Magufuri, Mkullo na Kikwete kuongea kwenye cabinet meetings.
Sijui hata kama hizo cabinet meetings zinakalika.
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa, alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali, alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO
Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.
Kinachosikitisha hapa sio nani kasema uwongo au ukweli shida ni kwamba tunayo serikali ya namna gani ambayo haina mfumo unaoeleweka wa mawasiliano?
Sio kitu cha kushabikia hiki, naamini bado mnayakumbuka yaliyojiri bungeni kuhusu posho kila mtu anasema lake hii ni hatari sana kuweza kupata tafsiri sahihi ya kitu kiitwacho "uwajibikaji wa pamoja".
Mwanzilishi wa mtindo huu ni EL na wakati ule tulimsifia sana tukaona yeye ni bora kuliko wengine.Na mpaka sasa tunamshabikia kwamba ni mchapakazi
Ron Paul is not a populist, he adopts some very controversial positions that defies the American political orthodoxy in a way that threatens his chances.
Huwezi kusema mwanasiasa anayeadvocate general legalization ya marijuana na prostitution, abolishing the Federal Reserve na kusimamisha vita zote abruptly ni "populist". Hizi si popular positions.
Magufuli siyo Jembe bali hiyo ndiyo style yake ya kung`arisha jina lake ili wananchi wamuone yeye ndiyo mkweli na mchapakazi pekee. Hakuna ambacho huyu Pombe hakijui juu ya ukata unaoikabili hazina.
Kama unahitaji kuchaguliwa basi ni lazima u-advocate what the majority of your voters will consider "convenient" otherwise no one votes for you, now to the best of my knowledge, the gentleman you have indicated as a paladin of "non-populism" is an elected politician in Texas - this implies that the majority of the voters of his costituency consider him to be a personification of their political creed or if you like views now that is populism!!! mind u i don't consider the terminology as denigratory!
so again I still believe that all politicians are populist,mutatis mutandis
[/B]
Jana wakati Bw. pombe anasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi Dar, alimuwashia moto Bw. Mkulo kuwa wizara yake inachelewesha malipo ya wakandarasi na kufanya miradi ichelewe kumalizika. alisema ""
Na hili nalisema hapa kutokana na mwakilishi wa Ofisi ya Waziri wa Fedha kuwa mahali hapa, alisema Magufuli na kumgeukia ofisa huyo wa Wizara ya Fedha na kumwambia:
Mwambie Waziri Mkulo awalipe fedha makandarasi wanaodai, salamu hizo mfikishie huko aliko, makandarasi wanaidai serikali, alisema.
Bila kutaja kiasi ambacho serikali inadaiwa, Magufuli alimtaka Waziri Mkulo kulichukua jambo hilo kwa uzito wa kipekee na kuanza kulipa madeni ya makandarasi kuanzia sasa, ili Wizara ya Ujenzi iweze kuwabana vizuri pale wanaposhindwa kukamilisha ujenzi kwa wakati.''
source: TANZANIA DAIMA YA LEO
Ina maana hawa jamaa hata kupigiana simu hawawezi mpaka wavuane magamba kwenye TV??? Kazi ni kwake baba riz.
Hi Mr. Kiranga!
Just a simple question, what do you mean by "populist or populism???
As I stated in my very first responce all politicians are populists by definition - now according to the cambridge dictionary POPULISM - "political ideas and activities that are intended to represent ordinary people's needs and wishes!! i don't see anything wrong with that,do you???
nimeona ktk majibu yako umeongelea" madikteta kibao wanawakandamiza watu wao kwa nguvu..." Am I arguing with someone who doesn't know the difference between a DICTATOR and a POLITICIAN??? Nataka kuamini kuwa umeteleza katika hilo, au nakosea???
Umezungumzia Mkapa hakuyumba ktk uongozi wake despite people's rage regarding his fiscal policies - you should know better than I do that democracy is incompatible with poverty so what Mkapa did and consequently how people reacted have no meaning to me simply because Tanzania being a poor country hence non-democratic(mutatis mutandis!!) its(her)people count less to the politicians once (they) are in power...anyway that probably is a new topic.
Mr. Kiranga!!
I said in my very first posting regarding the topic in question that the POPULISM/POPULIST terminology is highly abused and unfortunately you're among those who misuse that terminology in the denigratory manner, do you think statism is better than populism??? Personally I don't as I really believe that every person regardless of his social status, should perticipate in moulding the decisions which (might/may) define his fate.
si unamsikia anawaeleza engineers wa ujenzi kuwa hakuna likizo,wanatakiwa kubaki kazini na kufanya ukarabati wa barabara ili watu na kazi nyingine ziendelee kama kawaida
ki ukweli jamaa ni jembe na anaweza
ukweri = ukweli