Dalili za Bw.Magufuli kama atachaguliwa kuwa Rais ATATEULIWA WATENDAJI NA WALIOMWEKA MADARAKANI KWA MIAKA 3.Hali hiyo imejidhihirisha mapema baada ya Rais aliyopo kuendelea kuteua watendaji licha ya kubakiza masaa tu ambao Magufuli hana uwezo Wa kuwaondoa hata akiwa rais.Hivyo watanzania tujiandaa kumwona Magufuli anapangiwa watendaji asiowataka.