Magufuli akabidhiwa haya majina ya wauza 'unga'

Duh kuna watu wasipochangia mada bila kutaja CCM wanahisi hawajasema kitu kabisa
 
Mkuu naomba nitofautiane na wewe kwenye business
Suicidal. Mimi baada ya kusoma hapa ndo nakwenda kulinunua

Hujatofautiana naye infact, kasema kuweka gazeti lote hapa watu hawatanunua gazeti, ndo maana inawekwa hint tu.
 
Naona nawe ni muuza uongo. Unaleta mada, harafu majina huweki. Weka majina hapa sii yapo hadharani. Sasa ambao tupo vijijini huku hatupati hilo gazeti.

nikweli mkuu....anatakiwa aweke hadharani hayo majina huku kwetu magazeti hayatufikii
 
Nadhani ni muda sasa hata Picha Zao ziwekwe wazi ili jamii ianze kuwa jua na kuwaepusha waathirika wapya kuingia mkege.

Kuwa weka wazi na hasa Picha zao itasaidia sana!


Na picha ni bora, maana kwa majina tu nivigumu,majina yanafanana mengi tu.
 
haya mbona ni majina ya mateja yaliyokusanywa wakati wanakamatwa au ndio hadithi za alfu lelela ulele kwa maana majina ya wauza ngeda sio raihisi hivi .jamaaa anatafuta kick ya kuuza gazeti
 
majibu naona yamekuwa vichunusi kasi ya kuweka mikataba wazi tujue ukweli wa hiyo mikataba iwekwe wazi tujue kinachoendelea wote cio mbumbumbu tujiridhishe kwa maana mingi ni hovyo zaidi ya hizi poyoyo
 
Haya hapa majina unayo yataka.

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php


attachment.php

Kheee!!? Hawa ndio Vasco aliogopa kuwataja??hawa ni mateja au wauzaji manguli??
 
Kama Azzan hayupo hapo basi hamna kitu nakubaliana na hao wanaosema hayo ni majina ya mateja sio ma tycoon!!
 
Hii orodha haina ukweli wowote. Majina ya mapapa hayamo. Naona majina ya vidagaa tu. Acheni siasa nhana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom