Magufuli afumua sheria ya manunuzi

Magufuli afumua sheria ya manunuzi

Kama ungekuwa na hiyo ELIMU wewe, ungejikita kwenye mada iliyo mezani, nayo ni "Sheria ya manunuzi ya Serikali"! Kwanza kunyoosha vidole hakuisaidii kuwa bora kama yenyewe ni mbovu, au mbovu kama yenyewe ni bora! Ungetumia hiyo ELIMU yako kuichambua sheria husika kuonesha "ubovu" wake au "ubora" wake, ungalionesha tofauti kuwa wewe ni GT!!!

Mkuu unadhani hata anajua ubaya au uzuri wa sheria yenyewe uko wapi zaidi ya kumsikia mnyika kasema mbaya basi nae ameyabeba maneno kama yalivyo na kuja kusumbua huku elimu, elimu nakati yy bado
 
HEKO MH.RAIS JPJM!
TUA-DOPT DIRECT KUTOKA KENYA!
HAKUNA HAJA YA KUUMIZA VICHWA LET ""COPY N PASTE""
why? because,ipo vema sana!_/ na wamekuja ipata baada ya kutaabishwa mno na wajanja!

Mkuu nakupa five.
Hawa viongoz wetu kila kukicha walikua wanasafir kupita maelezo na truly speaking sielewi walikua wanaenda kufanya nini. Kama kujifunza kwakweli ilibid wawe wamebobea Kwa trip walizopiga lkn ndo kila kukicha tunapitisha sheria na vitu vingine hovyo utadhani sisi ndo wavumbuz au wa kwanza kuanzisha hiz sheria wkt kazi rahisi ni ku-copy na ku-paste kutoka Kwa wenzetu wanaofanya vzr lkn tunazifanyia marekebisho kidogo yatakayoendana na mazingira yetu halisi.
 
Back
Top Bottom