Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,209
- 27,026
Mi Nina group huko wasap kuna watu wanataka kuoa tena hatukuwa close kiivyo wala nini na tulipoteana miaka kibao tena kuna wwngine wanadharau balaa .Hahahaa, dah dhana unayotaka kusema imenifurahisha mkuu..... hivi Bado kuna watu wanachangia harusi watu ambao hawako close "Kiivyo"..yani just because you know me ndo nichangie? wengine hata kupigiana simu hamjawahi, for the first time nina kadi yako ya mchango..waafrika sisi???? Harusi mil 30.,,,, income Laki 650......
Waambie huwezi toa hela yako kwa omba omba wenye nguvu zao, we unachangia matatizo tu! sio anasaMi Nina group huko wasap kuna watu wanataka kuoa tena hatukuwa close kiivyo wala nini na tulipoteana miaka kibao tena kuna wwngine wanadharau balaa .
Halafu wanataka mchamgo Leo wanakutajia fixed amount kabisa eti single na double khaa[emoji15] [emoji119]
Halafu wanavyoomba mchango na kuleta shombo flani za kuponda[emoji14]
Ukisha left unam block Admin mchezo kwishneyNaleft wananirudishaaa
Kinachokera ni tabia ya watu kutaka kufanya sherehe kubwa ya kifahari kuliko uwezo wao. Sasa wanaanza kusumbua wengine na kuwapangia kiasi cha kuchanga!!!!Nadhani Tatizo ni Ugumu wa maisha (kwa kipindi hiki). Lakini dhana nzima ya kuchangia na kuchangishwa haina Tatizo. Sisi waafrika kwa utamaduni wetu tunaishi maisha ya pamoja (ya kijamaa). Na harusi ni kitu cha kipekee kwenye historia ya maisha.
Hahahaa, dah dhana unayotaka kusema imenifurahisha mkuu..... hivi Bado kuna watu wanachangia harusi watu ambao hawako close "Kiivyo"..yani just because you know me ndo nichangie? wengine hata kupigiana simu hamjawahi, for the first time nina kadi yako ya mchango..waafrika sisi???? Harusi mil 30.,,,, income Laki 650......
Kinachokera ni tabia ya watu kutaka kufanya sherehe kubwa ya kifahari kuliko uwezo wao. Sasa wanaanza kusumbua wengine na kuwapangia kiasi cha kuchanga!!!!
Yote 9 siku hizi hadi birthday wanataka michango...ila pungukiwa ada uombe uone.
Naleft wananirudishaaa
Teh si bora magrupu unaweze kumute ukachuunaa! Kuna hizi kadi na msg nina kadi nne zote zinafatana !hivi kwani kufanya harusi hadi uchangiwee?? Eboh! Yani mtu huna hata kagari ka mil 5 teh unataka harusi ya mil 7 mfyuu! Si utumwa huu?! We unataka kuoa mwakani anza kuweka vijisenti vyako waambie ndugu zako wakuchangie alika watu kulingana na bajeti siyo kusumbuana kwe cm ka deni!lnchi yenyewe ishakuwa ngumu hii tutaonana wabaya!oohoh! Loh!
Ukishamchangia anapoteami waliniweka kwa group nikaleft fasta, wengine unakuta hamjawasiliana kwa miaka lakini kwenye ishu ya michango ya harusi unatafutwa kwa lazima. Huku tunaisoma namba na watu wanatuongezea shida nyingine za michango ya harusi kila kona.
Heeeee!
Simu yangu mpaka sasa ina magrupu ka 8 ya harusi. Tena kwa mbwembwe wengine wanadai pledge ianzie 250,000 mara 300,000 mara 150,000. Heee, jamani, na huu uchumi uliobanwa na JPM bado nitoe milaki kila grupu? Na bado mnaniadd bila kunambia????
Hii kitu inakera aisee, TRA anzisheni kodi kwenye hizi harusi na grupu za whatsapp, tena watoe na lisiti la sivyo hiyo miaka 3 jela iwahusu. Mi harusi yangu hakuna michango, just naenda church namaliza ndoa kisha niliowaalika home watakuja na kula na kunywa kitakachopatikana!!!