Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
- Thread starter
-
- #21
Mkuu you have got talent hongera sana...
Kweli JF kuna talent za kutosha kwakweli tuki-Stand Together... ni mengi tunaweza kufanikisha....
Tunaweza tukatumia Vipaji vya Watu Tofauti humu kwa Manufaa ya wengi..., Just Imagine nyie wanamashairi mkiungana mkawatungia wanamuziki wetu??????....... au mnasemaje?..... Hapa kuna Gold Mine ambayo hatutaki kuitumia.
:sad::sad:,mi na wewe basi.........
Duh!!! Watu mna hatari nyie anyways nimegundua kuna watu mahiri kama 7 hivi upande wa mashairiNimeongeza hii beti....
Ewe nawe The Finest usinung'unike,
Tena uingie ndani nawe ufarijike,
Utuambie amkeni, wanajamvi tubadilike
Tushikane kwa imani wabnajamvi tunusurike.
Huyu uliemtaja, hafui dafu jamani,
Ni dada mwenye viroja, amezidisha matani
Sifa zake nazitaja, upate kumbaini
Huyu ni mtu wa kuja, atokea milimani
Hawezi hata kungoja, subira haitamani
zingine nitazitaja, wala hutomtamani
Akikwambia "nakuja", kumbe yuko kitandani,
Si mtu alo na tija, amekosa shukurani,
Utakaa kumngoja, hayupo hata njiani
Sijui kwa nini nilikua nakacha somo la ushairi....Hilo shairi twangoja, ulitoe hadharani,
Usijefanya viroja, utuache mataani,
Ulijazie na hoja, lipambwe na umakini
Siku litakapokuja, twaomba tuwe hewani,
Lituletee faraja, kama ile ya manani,
Litujengee Umoja, tusiwe mahayawani
Kipindi kile ilikuwa ndio umeishaanza kuwa Sharobaro mdogo mdogoSijui kwa nini nilikua nakacha somo la ushairi....
dah na uzee huu sijui kama ntaweza...
mama busara nashukuru kwa kujali maslahi yanguasante mzee wa mashairi,,uko vzr!nakukubali:clap2:
Huyu uliemtaja, hafui dafu jamani,
Ni dada mwenye viroja, amezidisha matani
Sifa zake nazitaja, upate kumbaini
Huyu ni mtu wa kuja, atokea milimani
Hawezi hata kungoja, subira haitamani
zingine nitazitaja, wala hutomtamani
Akikwambia "nakuja", kumbe yuko kitandani,
Si mtu alo na tija, amekosa shukurani,
Utakaa kumngoja, hayupo hata njiani
Thanks for the compliments kwa niaba ya washairi kama kina Michelle, Pakajimmy, Magulumangu na wengineo tunahitaji ushirikiano wenu adhimu kwenye fani hii.
Shukran sana.
mkuu usinisahau hizo beti zingine..lol
nice stuff though
Huyu uliemtaja, hafui dafu jamani,
Ni dada mwenye viroja, amezidisha matani
Sifa zake nazitaja, upate kumbaini
Huyu ni mtu wa kuja, atokea milimani
Hawezi hata kungoja, subira haitamani
zingine nitazitaja, wala hutomtamani
Akikwambia "nakuja", kumbe yuko kitandani,
Si mtu alo na tija, amekosa shukurani,
Utakaa kumngoja, hayupo hata njiani
mkuu usinisahau hizo beti zingine..lol
nice stuff though
Nini tena jamani dear
Michelle hana lolote kwenye ushairi,nilijaribu tu siku ile kumjibu Magulumangu......lol
Nilishakuambia siku ukieleweka unacheka au unalia utafaidi sana,
Watu wanaogopa wakikuweka kweny mashairi utazidisha kulia sijui kucheka itakuwa tabu.......embu njoo nikufundishe kucheka na kulia..lol
Sihaba hebu waambie, Wiselady mwana gani,
Pakajimmy tupasulie, wenzetu wambaini,
Ikibidi wapekulie, uwatoe usingizini.
Kumbe bibie mchagga, ndugu yetu wa milimani!
Ombi lako limesikaka na nime edit na kuingiza hiki kipande 🙂
Mwenzetu huyu si mgeni, Samora10 mwamjua
Mwenzetu si limbukeni, kusema anayoyajua
Samora10 hana utani, kwenye uovu hufichua,
Ni kijana muadilifu si kijana wakuchakachua.
huyu paka aitwae jimmy usimskilize sana,,huwa hapendi maslahi yangu.