Magoli ya Simba kwa Stand Utd ni mepesi sana, nini kipo nyuma ya pazia?

Mtanange wa leo wa ligi kuu bara, uliopigwa katika dimba la Kambarage pale Shinyanga, Simba ameibuka na ushindi wa goli 2-0. Hongereni kwa hilo.

Ila kuna kitu kinanipa mashaka, magoli waliyofunga ni marahisi sana, yaani wamerahisishiwa namna ya kupata magoli hayo, kwa kifupi ni kama kupigana na mlevi aliyepo chakari.

Goli la kwanza ni la penati. Mpira umemgusa mchezaji wa Stand begani, refarii akakimbilia kutenga tuta, na John Bocco akafunga.

Goli la pili, offside ya wazi kabisaaaaa, John Bocco alibaki pekee yake na kipa halafu yule kipa sikuelewa ni kwa namna gani mpira uliompitia karibu ashindwe walau hata kuugusa. INASHANGAZA!

Inaonekana Simba kwa sasa wanapeleka miamala pande mbili, kwa wasimamizi wa mchezo bila kusahau kwa mabeki na magolikipa wa timu pinzani. Hebu kumbuka walau goli la faulo alilofungwa kipa wa Lipuli juzi, ni AIBU.

Mpira wetu bado una safari ndefu sana.

Nawasilisha...
Inauma sana pale Masawe apokufunga alafu anakuja fungwa kirahisi na Bocco.
Vipi ile penati refa kapeta ya juma rashidi? Goli la pili angalia vizuri kuna jamaa alikuwa analinda goli nguzoni ndiye aliyemuweka boko onside.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mke mdogo kaletewa kanga,mke mkubwa amenuna.Anadai amepewa doti moja wakati mke mdogo kapewa doti mbili.
Usinune msimu ujao utapewa doti mbili ili gubu liishe.
 
Ulitaka mfungwaje ndio mtukubali,maaninaaaaaa,tumewagonga na tutawaginga sana wehu nyieeee
Yondani mlimpa sh ngapi..Bocco anapita kirahisi vile..Yondani uchochoro..kuwa Na mamluki kwenye timu mbaya sana
 
Yondani mlimpa sh ngapi..Bocco anapita kirahisi vile..Yondani uchochoro..kuwa Na mamluki kwenye timu mbaya sana

Teh teh teh!

Hata mwalimu wenu Zahera tulimuhonga ili asiifundishe timu vizuri siku ile ya game mkuu,sisi tunahonga sana,hatujui kabisa mpira,Kagere anabahatisha tu,nyie ndio timu bora kabisa Africa,hakuna anayewazidi,hongereni sana timu ya wananchi ya kulialia
 
Mbona unaongea kipashkuna kama James Delicious
Ndo unatangaza biashara yako nn
Unashangaa nn kwan mambo haya yameanza tu kwa simba mlipokua manafanya nyny mbna mlkua mnashangliaa chezen mpra km vip achen kuangalia mechi za simba mtaumia bure haf m sina maneno y kjinga km yako jibu hoja na sio maneno ya kjb
 
kwahiyo wewe hukutaka simba washinde?hahahahahaha vipi marefa walikuwa fair?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom