Magic FM na Salum Mkambala

Magic FM na Salum Mkambala

Inaitwa changamsha genge na ndivo inavyotakiwa haiwezekani wote wawe wanatema nondo mkuu

Hata huku jf tuna kina gudume wachangamsha genge ila sio kwamba hawatemi nondo kichwani
 
Halafu kitu cha ajabu ni kuwa Kibwana huwa ana muda mchache wa kuongea kuliko Mkambala,pathetic
 
Kwanza mtoa mada, sio Erest Kawau ni Orast Kawau Mr. OK.

Mimi kama mpenzi wa kipindi cha Morning Magic ya Magic FM, ambacho ni kipindi bora cha asubuhi ambacho ni mewahi kukisikia kwa Radio za Tanzania, hasa kile kipande cha kupaka rangi, jamaa wana tia nyama za kutosha kwenye mjadala.

Salum Mkambala, hili ni JIPU, sio tu kwamba hajui analazimisha ucheshi ambao unapelekea kumchukia.

Aidha kwa Mery Edward tatizo lake kubwa ni kuchapia sana (kukosea utamkaji wa maneno), Orest Kawau Mr. OK huyu yuko vizuri tatizo lake anatuongelesha kingereza ambacho yeye mwenyewe hakijui. Kibwana Datchi huyu ni Mr. GOOGLE kweli kweli anajua kama Farid Qubanda FQ yaani anajua mpaka anaboa..

Ahsante
 
Kuna kipindi aliwahi kushika NZOWA nafasi yake kipindi kilienda poa saana.

Hasa pale NZOWA anaposheresha kwa kuiga sauti za viongozi MF Mama Anna Makinda, Mh Halima Mdee
 
Kwanza mtoa mada, sio Erest Kawau ni Orast Kawau Mr. OK.

Mimi kama mpenzi wa kipindi cha Morning Magic ya Magic FM, ambacho ni kipindi bora cha asubuhi ambacho ni mewahi kukisikia kwa Radio za Tanzania, hasa kile kipande cha kupaka rangi, jamaa wana tia nyama za kutosha kwenye mjadala.

Salum Mkambala, hili ni JIPU, sio tu kwamba hajui analazimisha ucheshi ambao unapelekea kumchukia.

Aidha kwa Mery Edward tatizo lake kubwa ni kuchapia sana (kukosea utamkaji wa maneno), Orest Kawau Mr. OK huyu yuko vizuri tatizo lake anatuongelesha kingereza ambacho yeye mwenyewe hakijui. Kibwana Datchi huyu ni Mr. GOOGLE kweli kweli anajua kama Farid Qubanda FQ yaani anajua mpaka anaboa..

Ahsante
Nimelike kwa sababu ya FID Q...

"Eti anabisha baada ya 9 haiji 10..." huu mstari Fid atakuwa alimsema Mkambala.
 
Huwa nachekaga sana anaposemaga utangazaji ni kipaji
Sasa huwa najiulizaga kipaji chenyewe ndo kile..kifupi huyu jamaa simkubali
 
Yawezekana anavaa character hiyo ili kubalance kipindi - kukiwa hakuna ubishi au uzito wa kuelewa mambo; kipindi kinaegamia upande mmoja hence kukosa mvuto.
 
Back
Top Bottom