Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 65
Kupingana na matakwa ya Rais ni uhaini.....Nape alistahili kufukuzwa kwa kutaka kumdhalilisha mteule wa rais RC Makonda
Wewe kwani Nape sio mteule wa Rais? au unajisemea hovyo hovyo tu. Mimi simtetei Nape lakini sema vizuri.