Haki ni mama wa amani,
Haki kwanza ndo amani itafuatia.
Wimbo wa amani umetumika mda mrefu ili kupumbaza haki.
Nachukia sana lile neno 'uvunjifu wa amani'.
Ewe magesa, sisi tunapinga 'uvunjifu wa haki'.
Haki ikitendeka automatically amani itakuwepo.
Haki ni mama wa amani.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums