THE MI6 INSIYDER
Member
- Oct 2, 2014
- 42
- 4
Magereza wataanza koz lini jama ?je graduates walishapata majibu ya usail wa magereza
Nimeskia wamefikia hatua ya uchakachuaji.
kashfa zngne sio jaman,we watachakachua vp?wakati hata majina ya usaili bado?au ukiitwa kwnye usail ndo unakua ushapata kazi?dah 2badilikeni 2ache kashfa zingne sio kabisaa nikwamba chamsingi kinachotakiwa ni 2vutesubira den 2mwombe Mungu 2fanikiwe
Hakuna ulemavu mbaya kama wa fikra, wala sio kosa lake huyo jamaa. Anaandamwa na ndoto mbaya mchana na usiku.
hahahaa,dah xo am i hvng a wet dreams thnx keep on wrong way ov belvng den lol loading...................!
Hakuna ulemavu mbaya kama wa fikra, wala sio kosa lake huyo jamaa. Anaandamwa na ndoto mbaya mchana na usiku.