Magdalena Sakaya Ameonyesha Kukomaa Kisiasa zaidi ya Maalim Seif

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
4,582
2,783
Ukitaka kuangalia upepo wa kisiasa unavyoendelea, utagundua Mhe. Magdalena Sakaya ameonyesha kukomaa kisiasa na kuzuia miemko ya nje.

Uchaguzi wa EALA umeonyesha jinsi alivyokuwa amepitisha majina ya wagombea wake 3 ukilinganisha na Seif aliyechagua mtu anayemtaka tu.

Uteuzi wa Seif ulilandana na wa CHADEMA ikionyesha Seif anaendeshwa na rimoti kwa mbali na magwiji wa siasa kutoka CHADEMA.

Kwa bahati mbaya kilichopo CUF ni mgogoro. Ila inaonyesha ameweza kuelewa nini maana ya kufuata sheria na kanuni zinazotakiwa katika kutekeleza majukumu yake.

Asingekuwa yeye tuliyoona CHADEMA tungeyaona kwa CUF.

Hongera sana Mhe.
 
Sijaona uhusiano wa maneno yako na andiko hili. Shida hutaki kujua ukweli kuwa CUF ya Lipumba ingeshikiwa akili za CHADEMA wangefanya ya CHADEMA kama Seif alichofanya.
Maajabu haya tawi la ccm kupongezana wenyewe Kwa wenyewe
Yani wizi wa Ruzuku ya cuf Leo ndiyo kukomaa kisiasa?
 
CUF ni chama cha zanzibar mbona nyie watanzania bara mnakingangania hivyo,hamuoni aibu, anzisheni cha kwenu muanzishe figisu zenu
 
Ukitaka kuangalia upepo wa kisiasa unavyoendelea, utagundua Mhe. Magdalena Sakaya ameonyesha kukomaa kisiasa na kuzuia miemko ya nje.

Uchaguzi wa EALA umeonyesha jinsi alivyokuwa amepitisha majina ya wagombea wake 3 ukilinganisha na Seif aliyechagua mtu anayemtaka tu.

Uteuzi wa Seif ulilandana na wa CHADEMA ikionyesha Seif anaendeshwa na rimoti kwa mbali na magwiji wa siasa kutoka CHADEMA.

Kwa bahati mbaya kilichopo CUF ni mgogoro. Ila inaonyesha ameweza kuelewa nini maana ya kufuata sheria na kanuni zinazotakiwa katika kutekeleza majukumu yake.

Asingekuwa yeye tuliyoona CHADEMA tungeyaona kwa CUF.

Hongera sana Mhe.
Mtu kama huyu anaweza kusema Mitume wanajua na ni wakubwa kuliko Mungu...
 
Siasa hazina milinganyo hata siku moja. Kila mtu anaibuka katika wakati wake.

Kuna wakati wa kupingana na ufisadi na wakati wa kusifia mafisadi.

Huu ni wakati wa Sakaya.
Mtu kama huyu anaweza kusema Mitume wanajua na ni wakubwa kuliko Mungu...
 
Ukitaka kuangalia upepo wa kisiasa unavyoendelea, utagundua Mhe. Magdalena Sakaya ameonyesha kukomaa kisiasa na kuzuia miemko ya nje.

Uchaguzi wa EALA umeonyesha jinsi alivyokuwa amepitisha majina ya wagombea wake 3 ukilinganisha na Seif aliyechagua mtu anayemtaka tu.

Uteuzi wa Seif ulilandana na wa CHADEMA ikionyesha Seif anaendeshwa na rimoti kwa mbali na magwiji wa siasa kutoka CHADEMA.

Kwa bahati mbaya kilichopo CUF ni mgogoro. Ila inaonyesha ameweza kuelewa nini maana ya kufuata sheria na kanuni zinazotakiwa katika kutekeleza majukumu yake.

Asingekuwa yeye tuliyoona CHADEMA tungeyaona kwa CUF.

Hongera sana Mhe.
Sakaya bwege ana ujembe gani na wote hao 2020 hawarudi bungeni wanafiki hao
 
Ulichoandika kwenye "Title" na kilichomo kwenye uzi ni tofauti kabisa.
Siku nyingine ainisha ukomavu wa Mheshimiwa Magdalena Sakaya ukipambanisha (contrast) na udhaifu wa Mheshimiwa Seif.
 
Back
Top Bottom