Magazeti ya udaku yafungiwe

D Metakelfin

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
3,123
3,153
Wakuu heshima kwenu
617c1013200c078bc41ffd6635129bdb.jpg


Leo nimejikuta natafakari sana dhamira ya magazeti yanayoitwa ya udaku au kama yanavyojiita eti magazeti pendwa
-kiu
-sani
-ijumaa
-filamu
-uwazi
-risasi.
Kwa ujumla magazeti haya yanaonyesha pasi na shaka kuwa yametawaliwa na waandishi uchwara tena Wasio na taaluma ya uandishi wa HABARI.
2a8fd99f12ffb3a0be9e999492a200df.jpg

Ukijaribu kutafakari kuhusu hayo yanayoandikwa na magazeti hayo mara nyingi
-hukumbusha na kutonesha vidonda vya wafiwa kwani mara nyingi huchapisha habari ili wauze na sio kuangalia HABARI hiyo itapokelewa vipi na jamii.
-hulenga kumchafua mtu,mara nyingi magazeti haya huandika kuhusu mambo ya faragha kumhusu mtu badala ya kuandika mambo ya kuelimisha na kufundisha jamii.
-chuki na husda katika jamii hili utaligundua kwani tukio anaweza kufanya mtu mmoja mfano mwalimu lakini wao hawawzi kusema mwalimu wataandika waalimu
-kupandikiza hofu
8686e524d5917276c313f63f00995a3d.jpg


Hivyo kwa kuhitimisha mtazamo wangu ni kuwa serikali badala ya kulenga kuyafungia magazeti yanayoikosoa pekee yangefungia magazeti haya yanayoandika kwa minajili ya kuuza pekee badala ya kuhabarisha na kufundisha

Tafakari njema greater thinkers
cb6636f8a7f6b7cc035833a852544b91.jpg

c2818d08993f9aafa2e503fb0059c0c5.jpg

43d28ae5d81f2a7589e0a471277931cf.jpg

745f473d78c095552ad211178e451ccc.gif

1d9c784bb80aa5a66d9a3927a3aec017.jpg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom