Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Magari 16 yachomwa moto katika yadi iliyopo jirani na Kanisa la Kakobe Mwenge, Dar. Hujuma yahofiwa, madumu ya petroli yakutwa eneo la tukio
.Chanzo:mwananchi
.Chanzo:mwananchi
MAGARI YATEKETEZWA: Magari 16 yachomwa moto katika yadi iliyopo jirani na Kanisa la Kakobe Mwenge, Dar. Hujuma yahofiwa, madumu ya petroli yakutwa eneo la tukio.Chanzo:mwananchi
MAGARI YATEKETEZWA: Magari 16 yachomwa moto katika yadi iliyopo jirani na Kanisa la Kakobe Mwenge, Dar. Hujuma yahofiwa, madumu ya petroli yakutwa eneo la tukio.Chanzo:mwananchi
Hamjapata hata vipicha viwili vitatu?
Hamjapata hata vipicha viwili vitatu?
Kwa nini polisi wapate tabu katika uchunguzi...si waseme ni waislam tuu...kazi itakua imeisha..
Mama upo?
Kwa nini polisi wapate tabu katika uchunguzi...si waseme ni waislam tuu...kazi itakua imeisha..
ndugu, siyo vyema kuhusisha dini nzima kwa hili. Japo wapo wanaoshangilia kwa ushabiki huohuo wa imani potofu. Mimi ni mkristu ila naamini hata hao waliotenda huo upuuzi kwa imani za dini, bado hawatangazi dini ila upuuzi. Na vilevile ndani ya uislamu wapo waohuzunika kwa jambo la kipuuzi kama hili. Ni shetani tu.
Kwa nini polisi wapate tabu katika uchunguzi...si waseme ni waislam tuu...kazi itakua imeisha..
ndugu, siyo vyema kuhusisha dini nzima kwa hili. Japo wapo wanaoshangilia kwa ushabiki huohuo wa imani potofu. Mimi ni mkristu ila naamini hata hao waliotenda huo upuuzi kwa imani za dini, bado hawatangazi dini ila upuuzi. Na vilevile ndani ya uislamu wapo waohuzunika kwa jambo la kipuuzi kama hili. Ni shetani tu.