Magari yateketezwa kwa moto

Magari yateketezwa kwa moto

Nadhani kuna kila sababu JF anzisheni mfumo wa kuwapima watu akili kwa kuweka maswali ya kuwabaini watu wasiostahili kujiunga na Jukwaa maana kuna kila dalili ya jukwaa letu kuharibiwa au kugeuzwa mahali pa kuvunjia amani, Binafsi nakwazika sana wachangiaji wanapoingiza maswala ya dini kwenye mambo yasiyo ya dini, sielewi lengo lao ni nini!!!, kuna gharama gani kujadili mada kwa misingi ya kuheshimiana na kupendana?
 
Jengo la Tume ya katiba nalo leo lilileta mtafaruku kikosi cha polisi na kile cha zimamoto kilifika nadhani walifanikiwa kuzima tukio Alarm ilikuwa ikilia bila kukoma... Naona Jini la Moto leo lilikuwa linakiu na maji baridi....

Nilianzisha Thread imefutwa i don't know why!
 
attachment.php
 

Attachments

  • 2014-04-07 13.36.52.jpg
    2014-04-07 13.36.52.jpg
    39.3 KB · Views: 1,123
Jengo la Tume ya katiba nalo leo lilileta mtafaruku kikosi cha polisi na kile cha zimamoto kilifika nadhani walifanikiwa kuzima tukio Alarm ilikuwa ikilia bila kukoma... Naona Jini la Moto leo lilikuwa linakiu na maji baridi....

Nilianzisha Thread imefutwa i don't know why!


Ndivyo ilivyo kwa post zinazogusa maslahi ya wenyewe
 
Hii ipo karibu na kanisa la Kakobe,je uislam unahusikaje?,pengine wafanyabiasha wenyewe wana tofauti zao zilipelekea kuunguzwa kwa yadi?,police wafanye kazi kuwabaini wahusika...
 
Magari 16 yachomwa moto katika yadi iliyopo jirani na Kanisa la Kakobe Mwenge, Dar. Hujuma yahofiwa, madumu ya petroli yakutwa eneo la tukio





.Chanzo:mwananchi
Waliona hayauziki nini? kama hawajayakatia Bima imekula kwao..... Bima Muhimu kwa Maisha ya Duniani
 
Ni kweli kabisa mkuu.Hivi karibuni tumeona msimamo wa Kakobe kisiasa na watu wasiolitakia mema taifa hili wanaweza kufanya hila kwa kufanya hili ili kuchonganisha waislam na wakristo wao waendelee kutawala kwa utisho.Na huhitaji kusubiri kuona matokeo ya tukio hili hapa tu katika uzi huu zimeanza kuibuka lugha zinazoashiria kuzuka kwa hoja za matusi baina ya waumini wa dini mbili hizi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
mbona hiyo yadi haina uhusiano wowote na askofu Kakobe? Tatizo labda ni kuwa jirani tu na kanisa lake. Hili litakuwa linahusiana na mmiliki mwenyewe wala haina uhusiano na dini.
 
Sio taahira Mkuu kwa sababu ndo itavyokua...tumezoea hii

Mkiambiwa hamna akili mnakuwa wakali eti mnaonewa sasa hapa Dini yako inaingiaje? Au bila chokochoko huwa hamuoni raha.Nchi imetulia acheni kuleta tena habari zenu za udini au hampendi Amani na utulivu?
 
Back
Top Bottom