Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,329
Habarini wanajamvi naomba kuuliza mimi nipo ferry nataka kwenda kibiti,
Magari ya kibiti yanapatikana wapi na bei yake ipoje???
Magari ya kibiti yanapatikana wapi na bei yake ipoje???
FIKA MBAGALA RANGI TATU, YAPO MENGI SANA KILA DAKIKA KUTWA NZIMA, KUANZIA HAECE MPAKA YOU TONG.Habarini wanajamvi naomba kuuliza mimi nipo ferry nataka kwenda kibiti,
Magari ya kibiti yanapatikana wapi na bei yake ipoje???