That tells me jinsi gani vyombo vetu vya usalama vimeanza kuzembea kiasi cha kuyachukulia mambo ya msingi kirahisi rahisi tu. Hivi jamani, gari ya raisi inajazwa mafuta popote? Anyway its a good thing kwamba haikuleta madhara kwa raisi. Ila on the other side raisi naye ajue ni jinsi gani wananchi wanapata hasara ya kuharibbikiwa na magari yao kutokana na kuuziwa mafuta machafu ama yaliyochanganywa.
Mr Presidaa, how does it feel? Sucks huh...? Thats Tanzania friend, get used to it or do something about it. Hivi kwani SUMATRA inapanga bei ya mafuta tu? Hao SUMATRA wakishirikiana na TBS, TRA, POLISI hivi majanga kama haya hayataisha upesi Mr Presidaaa?
Natishika na muenendo wa maadili wa vyombo vya umma. Mbona sioni nidhamu na maadili ya kweli toka moyoni? Nikitazama naona maadili, uwajibikaji na nidhamu ya unafiki tu pindi pale unapofika wewe Mr Presidaa ama Waziri Mkuu ama Makamu wako. Tunakwendaje namna hii?
NIDNAMU........ NIDHAMU............... NIDHAMU............. NIDHAMU.............. NIDHAMU.......... NIDHAMU........ NIDHAMU......... NIDHAMU
UADILIFU............. UADILIFU.................... UADILIFU........................UADILIFU.......... UADILIFU................. UADILIFU
UWAJIBIKAJI........................ UWAJIBIKAJI.................. UWAJIBIKAJI..................UWAJIBIKAJI
Ukosefu wa hayo ni mojawapo ya magonjwa yanayoambukiza sana katika serikali na vyombo vya umma kwa hivi sasa. Matokeo yake ni RUSHWA na KUDUMAA kwa huduma na hatimaye kila kitu kupewa uthamani wa hela. Imefika mahali nikitaka uwajibikaji nitumie pesa, nikitaka uadilifu nitumie pesa, nikitaka nidhamu nitumie pesa. Tutafika?
TRA mpo?