Magari ya Rais yazimika tena

"The sword doesn't recognize the head of the blacksmith who made it"- JK is the blacksmith who made the sword (marafiki zake kuwaweka katika uongozi wa ikulu) na sasa jambia hilo linamkata mwenyewe! jamani hapa tutalalamika na kushauri sana muungwana awatimue hawa jamaa, mnamuonea tu hana ubavu wa kuwatimua kwani sio yeye aliyewaweka hapo!

JK is the first and the only Boss I have ever known who does not have the power to FIRE! Am not sure of his power to HIRE!
 
...Nakuunga Mkono. Ndio maana siku hizi unaangalia watu wnaopaswa kuwa walinzi wa raisi unajiuliza kama ni mameneja fulani. Angalia kwenye ile thread ya Walinzi wa Viongozi uone tofauti ya wa kwetu na wale wa Wenzetu! Mizaha na kujuana Kila Mahali hata pasipostahili.


Mnashangaa nini nyie waTz,

Mkulu ni comedian katika nyanja zote na hataki kubadilika kwani mapungufu muyaonayo ni sehemu ya mwili wake na hawezi kukata kiungo chake kwani maumivu yatampata kuliko mtu mwingine yeyote mjue na muamini hivyo.

Juzi mkulu katuletea Brazil kwa hasara ya sie walipa kodi na tuliweza kuona Taifa stars ikicheza vilevile ki comedian kama vile jinsi mkulu wetu alivyo, hebu mpira ule fananisheni na Zimbabwe kwa mzee Mugabe (3-0) hapa poa kwani vijana walikuwa serious kama mzee wao alivyo katika siasa zake, angalieni jana Portugal na Mocambique (3-0) wamakonde walimukomalia Ronaldo na wenzake kama vichaa fulani lakini ingekuwa timu yetu ya Tz hakika ingekuwa 9-1 na bado mkulu angesema mwaona kandege ketu ka mpira kameanza kupaaaa tumeweza kufunga timu ya juu kabisa duniani, hebu muangalieni kipa wetu Mwarami jinsi ambavyo hakuwa serious kama vile mkulu wetu alivyo halafu mfananishe na kipa wa Msumbiji alivyokuwa anapangua mashuti ya kina Duda na wenzie.

Jamani mtake msitake serikali legelege huzaa kila kitu legelege, kodi, Afya, Majengo, Ushuru, Walimu, madaktari, Waandishi, Mashirika na hata mpira wao ni legelegeeeeeeee kama serikali ilivyo, Tatizo la kuuza mafuta machafu serikali inatambua na tayari huko siku za nyuma ni Mramba alitudanganya kwenye bajeti ya mwaka fulani kuwa 'mtaona vituo vya mafuta kama vitaendelea kushamiri' na akazidi kusema kuwa vituo vyote vyenye uzio vitasambaratishwa, aaa wapi bwana kumbe anatoka hapo anakwenda waambia endeleeni na biashara zenu mpaka mkulu wetu naye kajichanganya....aliiiiiselema alija!:mad:
 
KWanini hayo matukio yatokee mwaka huu wa kuelekea uchaguzi. Teh teh teh teh

Kweli wadanganyika ni wepesi wa kuwafunga na kakitendawili kepesiiiii , teh teh teh I CAN'T YOU wadanganyika. Teh teh teh teh
 
Majirani wasijekuckia hzi habari wajameni tuyamalizie hapa hapa kitaaa!!! naungana na mdau mmoja aliyesema kikwete ni wakutolewa madarakani kwa box la kura cyo hujuma za kumdhalilisha kiasi hcho..... chonde chonde kwa wanaofanya hvo kama ni kweli mpo
 
Basi tuombe ikulu wayatoe magari hayo ili yatumike na EWURA kuwakamata wanaochafua mafuta....

omarilyas
 
Tatizo hapa sio sabotage ya maadui zake, maadui huwa wapo tu ndo maana viongozi huwa wanalindwa na wanakuwa na taratibu zao, tumezidi uzembe na ujinga ndo maana wakenya wanatusema.

hawa watu wamezidi uzembe ......juzi pale uwanja wa Taifa..rais na amiri jeshi mkuu anakuja uwanjani wanashindwa hata kuleta BRASS band ya polisi ,magereze,jkt na jwtz ........matokeo yake wakawaita PRIME TIME na maspika yao mabovu....yanayoakisi sauti...wakaishia kwanza kucheza wimbo ambao haufanani na wa taifa ....pili na mbaya zaidi CD ikawa inakwamakwama......hata ungeniweka guest of honour niwe mimi...singekosa kuhoji ....ujinga ule pale.....,hata kwa macho ya hasira ..ingekuwa ujumbe murua kwa wahusika kabla hata ya kuongea.....singeshindwa kuhoji rationale ya kuwaacha walala hoi 40,000 nje..kwa tamaa ya pesa!!!...marais serious kama mugabe na kagame[yeye mechi ya taifa star ..kule kiingilio aliweka bure...uwanja ulivyojaa ukafungwa basi...waliowahi wamewahi..zimbabwe kiingilie walala hoi dola $4 usd...sisi hapa pesa yenyewe itoke kwenye kodi zetu yet walala hoi..yet kiiingilio cha chini tzs 30,000....
 
Kwetu ni Kwetu naona haupo Taznania, kuchukulia mafuta Ujenzi kuliisha siku nyingi sana, mkubwa atapataje fungu lake ikiwa kila kona itabanwa. hahhaaaaa.
Ila mkulu anapaswa kuwa makini na EWURA watoe uchanganuzi wa mafuta yaliyowekwa ili wananchi wajue ukweli, mbivu na mbovu, ni ujuma au mafuta machafu, mbona magari ya rais tu???? au magari ya mji wa moshi, likiwepo langu tumezoea mafuta machafu hapo kituo hicho????
KAaazi kwelikweli
 
Huyu Mkwele kwa kupenda sifa, haya sasa ona, kwa nini asingebaki na magari yale yale aliyotumia mtangulizi wake?? Tunalipwa hapa hapa duniani, katulia kodi zetu maisha yanazidi kuwa ya hovyo tu, tuone sasa kama ataona raha nayo.

Nitamnunulia bajaji
 
Kiongozi mbovu au mzembe kua na washauri na watendaji makini ni MIUJIZA MUNGU IBARIKI TANZANIA7
That tells me jinsi gani vyombo vetu vya usalama vimeanza kuzembea kiasi cha kuyachukulia mambo ya msingi kirahisi rahisi tu. Hivi jamani, gari ya raisi inajazwa mafuta popote? Anyway its a good thing kwamba haikuleta madhara kwa raisi. Ila on the other side raisi naye ajue ni jinsi gani wananchi wanapata hasara ya kuharibbikiwa na magari yao kutokana na kuuziwa mafuta machafu ama yaliyochanganywa.

Mr Presidaa, how does it feel? Sucks huh...? Thats Tanzania friend, get used to it or do something about it. Hivi kwani SUMATRA inapanga bei ya mafuta tu? Hao SUMATRA wakishirikiana na TBS, TRA, POLISI hivi majanga kama haya hayataisha upesi Mr Presidaaa?

Natishika na muenendo wa maadili wa vyombo vya umma. Mbona sioni nidhamu na maadili ya kweli toka moyoni? Nikitazama naona maadili, uwajibikaji na nidhamu ya unafiki tu pindi pale unapofika wewe Mr Presidaa ama Waziri Mkuu ama Makamu wako. Tunakwendaje namna hii?

NIDNAMU........ NIDHAMU............... NIDHAMU............. NIDHAMU.............. NIDHAMU.......... NIDHAMU........ NIDHAMU......... NIDHAMU

UADILIFU............. UADILIFU.................... UADILIFU........................UADILIFU.......... UADILIFU................. UADILIFU

UWAJIBIKAJI........................ UWAJIBIKAJI.................. UWAJIBIKAJI..................UWAJIBIKAJI

Ukosefu wa hayo ni mojawapo ya magonjwa yanayoambukiza sana katika serikali na vyombo vya umma kwa hivi sasa. Matokeo yake ni RUSHWA na KUDUMAA kwa huduma na hatimaye kila kitu kupewa uthamani wa hela. Imefika mahali nikitaka uwajibikaji nitumie pesa, nikitaka uadilifu nitumie pesa, nikitaka nidhamu nitumie pesa. Tutafika?

TRA mpo?
 
Kusema kweli kwa mji wa Moshi kituo hicho cha Total cha Laswai ni kati ya vinavyoaminika sana. Mimi mwenyewe nikiwa huko huwa ni mteja wao na hakuna hata siku moja nimepata shida ya gari kutokana na mafuta yao.

Sawa inaweza kuwa kweli wamechanganya mafuta (labda ndio kawaida yao au siku hiyo ndio ya kwanza baada ya kuletewa mafuta na Mt Meru), lakini KWA NINI MAGARI HAYO YA IKULU TU NDIO YAZIMIKE?? Au hayo magari hayafanyiwi matengenezo ya mara kwa mara? Au huwa yanapakiwa tu hapo ikulu ya Moshi hadi ugeni wa rais utokee (what a waste!)?

Ushauri wangu ni huu, wote waliohusika na uandaaji wa hayo magari wawekwe chini ya ulinzi.

Halafu we Kikwete siku nyingine utembelee Landrover 110
Mheshimiwa gari yako ina sensor?!maana tumeambiwa yameshindwa kuwaka kwa sababu ya hiyo sensor?watu wangapi moshi wana VX V8 authentic sio zile za autorec and such?wakati wanaweka hayo mafuta magari mengine yalikuwa ni VX V8?
Maswali hayo hapo juu yanamaanisha sisi wananchi tumeshazoea kuwekewa mafuta machafu..,na magari yetu are too dumb to even know.tuyashukuru hayo ma VX V8..,huyo laswai alikuwa anaonekana muadilifu kwa sababu alikuwa anakula na vipofu.bahati mbaya ameumbuka.
 
Sasa jamani tutapata ufafanuzi wa masahibu haya na yale mengine au ndio kimyaaaa tena na mambo ya usalama wa taifa (for their own consumption)?
 
Binafsi hii imenifurahisha sana kuliko kitu chochote in past three months. Magari yetu yameharibika saaana na mafuta machafu haya tunayoyalipia gharama kubwa sasa ngoja na wenyewe wayaone hayo. Sasa namshangaa mtu akisema hujuma hujuma wapi? undeni tume basi. Na bado mambo tunayoyalalamikia yatawapata na wenyewe na yanaweza yaka wa cost life kama yanavyotucost life sisi. Watakuja kukutana na magari mabovu wagongane maana tukilalamika wenyewe hawasikiii. Mafuta machafu karibu asilimia nyingi sana
 
...msijisumbue kuwalaumu ewura wala mwenye kituo...kikwete anapambana na maaadui zake anaowajua na hii ni impact.....kosa kubwa la kikwete ni kuwa wakati anagombea kuanzia mwaka 1995 na hata mwaka 2005 aliwaumiza watu wengi mno[political suicide]..kupitia mtandao wake ambao haukuwa na huruma wala simile......kosa kubwa alilofanya ambalo wanasiasa wengi wastaarab hufanya ..hakukutana na maasimu wake ili kuweka mkono wa maridhiano na ikibidi kumbana radhi....for sure now this people are heating him back from all angles........haiwezekani ndani ya wiki 2 anakuana na mauza uza ya ajabu...acha yale ambayo hatuyajuwi...alafu eti watu waseme rais wenu yupo salama...no...no..no!!!

namuonea huruma sana rais...kwani anayo safari nzito mbele yake.....na kama hata gari zimepenyezewa mafuta machafu basi..tujuwe hata ndege inaweza kuwekewa mafuta machafu.......na ni bora huko mbeleni wanasiasa wakajifunza kutauta nafasi za kisiasa bila kuchafuana...na kuacha makundi !!!
Nimekusoma vizuri mkubwa....jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Kuna dhambi nyingine ukizifanya zinakatabia kakukuandama kila unakokwenda.
 
Lakini hata hivyo, soko la mafuta halina control ya adulteration. Naamini wahusika wana neemeka na Ewura pia maana kila wakati insopectors wao wako mikoani wanakagua na huwa sielewi kabisa wanafanya nini wakati kuchanganya kunaanzia mara baada ya mbezi tu. Kutoka Mbezi, Kibaha mpaka Mlandizi, kuna vituo vyenye gereji zilizozibwa nyuma kibao. Hayo matruck yanaingia na kutoka kwenye gereji hizo za siri kufanya nini? Uchanganyaji wa mafuta unafanywa na watu wanaojulikana mbona wanaachiwa tu kama hakuna tatizo? Wiki chache zilizopita madereva wengi wakitanzania walikamatwa Burundi, Rwanda na DRC kwa kuingiza mafuta yaliyochanganywa. Kwanini na sisi tusifanye hivyo?
Tunacheza na wakati kwa hasara yetu wenyewe.
 
Kama mambo yenyewe ndio hivi tusubiri janga kubwa zaidi kwa rais WETU.
Hakuna kitu chochote kitakachotokea kwa rais wetu,kama kingekuwa njiani kutokea tunaye mnajimu wa kimataifa Sheikh Yahya Hussein angeshatu alert!!
 
.Kila siku wenye magari wanalalamika kuwa wanawekewa mafuta yaliyochanganywa. Serikali na mamlaka husika hawachukui hatua stahili zaidi ya kuvifungia kwa muda mfupi vituo husika, na baadaye vinaendelea na biashara hiyo hiyo. Sijawahi kusi mafuta yaliyo changwa yamearibiwa na mamlaka husika.
Leo yamewakuta wenyewe, yawezekana ili likwa ukombozi kwetu.
 
Saaaaaaaaaaaafi sana Kddddddddk

Ntaaka waweke hayo Mafuta ya CHAKACHUA kwenye Private Jet yake ili ikiruka Afe Mjinga Huyu ambaye Hasikii la kuambiwa.

We m2 gani umefungua hotel kesho yake TANROADS wanasema imejengwa eneo la barabara, kukabidhi gari la wagonjwa tena IKULU, Tairi kuchomoka, na mengine Meeeeeeeeengi tu still haoni

Anataka Mpaka MAlaika ashukue mbinguni ndio ataamini
 
Back
Top Bottom