Nini picha Bana!
Nenda Mkoa wa Kilimanjaro hasa wilaya zenye Wachaga;
Utakutana na magari mengi ya kizamani hasa Toyota Enye Nguvu (Toyota Stout) old model.
Pijot kuanzia 201 na kuendelea
Na mengine mengi.
Mbaya zaidi bado yanapiga mzigo kwa kwenda mbele.
Bazazi!