Magari ya Kizamani Unayakumbuka?

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
16,382
Reaction score
13,194



Isuszu Injection Tipper bado zipo kwenye Game zinapiga mzigo bila wasi wasi Model ya Mwaka 1979 Bongo nyingi ni kubebea Maji Masafi



Kitu Bedford Binua Mchanga!
 
da noma sana hizi vitu.....cjaona jeifang hapo
 
Waliosoma Tosamaganga sec watakuwa wanaikumbuka hiyo no 3 i
 
Mwenye zaile 504 na 505 ambazo zilikuwa maarufu sana Arusha enzi hizo atuwekee photos hapa!
 
Voxwagen Beetle [mgongo wa chura] Ford Anglia [kibyongo]
 
kama hili nimeliagiza juzi tu

Hii kitu ni Land rover 108 kwenye movie ya The God Must be Crazy acha...lina piga kazi nyingi sana!
 
Nini picha Bana!
Nenda Mkoa wa Kilimanjaro hasa wilaya zenye Wachaga;
Utakutana na magari mengi ya kizamani hasa Toyota Enye Nguvu (Toyota Stout) old model.
Pijot kuanzia 201 na kuendelea
Na mengine mengi.
Mbaya zaidi bado yanapiga mzigo kwa kwenda mbele.

Bazazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…