Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Safi. TBS wamefanya deliberate crash kuona safety au ni nyie tu mnafanya ukaguzi wenu?
Hahah ha ha tumeanza kutumia mfumo tangu 2010, mpaka leo 11yrs..no any damageMbona unasema mambo magumu na unajua huku ni afrika?? kama umenunua gari used mambo ya safety ya nn tena. Nafuu ungemuuliza jamaa kuwa akufundishe Kufanya Sara na Dua ukiwa na hayo magari
Vituo vya kujazia gesi viko wapi?Habari, autogas tanzania ni kampuni ya kufunga gesi kwenye magari, tunatoa hiyo huduma kwa uber kwa awamu tatu ,
Autogas inasave 60% gharama za mafuta 150-200km kwa 15,500/-
Call 0626151427
Whstp 0688181619View attachment 1780798View attachment 1780802View attachment 1780803
Ubungo maziwaVituo vya kujazia gesi viko wapi?
Mkuu, kwa magari madogo, nenda kwa hao jamaa, au DIT, au COET-UDSM, wanakofunga hiyo mifumo kwenye gari. Google au YouTube CNG installation kwenye magari madogo, huko ndiko mtungi wa gesi unakaa. Hiyo mitungi ni maalumu kwa hiyo kazi. Ingia YouTube na tafuta 'mfumo wa gesi kwenye magari', utapata videos toka Chuo cha DIT na ujifunze khs huo mfumo.Mtungi kukaa kwenye buti! kiusalama imekaaje? Najaribu kuwaza hata tenki la Perol lingekaa ndani ya buti ingekuwaje? Boresheni zaidi kwa usalama zaidi
Nimeweka number za simu hapo whatsap na calls. Kila gari inaspecification zake mkuu.
AsanteMkuu, kwa magari madogo, nenda kwa hao jamaa, au DIT, au COET-UDSM, wanakofunga hiyo mifumo kwenye gari. Google au YouTube CNG installation kwenye magari madogo, huko ndiko mtungi wa gesi unakaa. Hiyo mitungi ni maalumu kwa hiyo kazi. Ingia YouTube na tafuta 'mfumo wa gesi kwenye magari', utapata videos toka Chuo cha DIT na ujifunze khs huo mfumo.
Its posible kufunga.ndioKwenye pikipiki na bajaji inaweza kufugwa ?
Kwa order tunafanya..je
je, mnaweza kubadilisha gari linalotumia
Je, mnaweza kubadilisha gari linalotumia diesel na kuwa la kutumia gesi?
Aisee ngoja nijipangešIts posible kufunga.ndioView attachment 1782851View attachment 1782853
Binafsi ndio maana nimeamua kumpuuza, Huyu kama huduma zake hivi wakati anatafuta wateja itakuaje kama atawapata??Ukiona mtu anafichaficha kwenye mambo ya msingi yanayoolhusiana na matumizi ya pesa fahamu kua ukanjanja mwingi hapo.
Kama kweli biashara yako siyo ya kidalali na kitapeli kwa nn usiandike kwa kujazia nyama sana na kutoa mfano wa gharama kwa magari walau mawili yenye ukubwa na uwezo tofauti ili mtu aweze kujipima ?
Inakua same engine ya diesel na cng?!Kwa order tunafanya..
Kidudu kama hiki kufunga Gas ni kushangaza maana haka kanatumia fuel kigo sana labda kama unasafiri masafa marefuIts posible kufunga.ndioView attachment 1782851View attachment 1782853
Mm naonaga roli za dangote zimefungwaVipi kwenye Mabus kama Eicher Tata Hiace na Coaster na Civilian ? engine Diesel kama inawezekana nahitaji
Namba za simu hazitoshi....wewe unatangaza biasha halafu wateja waanze kuweka vocha kwa gharama kuwatafuta ili muwape deatails..?Nimeweka number za simu hapo whatsap na calls. Kila gari inaspecification zake mkuu.
Umeongea sahihi kabsa mkuu kwann anataka sana mtu azame inboboUkiona mtu anafichaficha kwenye mambo ya msingi yanayoolhusiana na matumizi ya pesa fahamu kua ukanjanja mwingi hapo.
Kama kweli biashara yako siyo ya kidalali na kitapeli kwa nn usiandike kwa kujazia nyama sana na kutoa mfano wa gharama kwa magari walau mawili yenye ukubwa na uwezo tofauti ili mtu aweze kujipima ?
Namba zake tu hazipo ata ukipigaUmeongea sahihi kabsa mkuu kwann anataka sana mtu azame inbobo