Magari saba yagonga na kuua DAR

Babuji

Senior Member
Nov 27, 2008
197
3
AJALI iliyohusisha magari yapatayo saba iliyotokea katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam imesababisha vifo na majeruhi kadhaa waliokimbizwa hospitali wengine wakiwa katika hali mbaya sana

Ajali hiyo imetokea leo asubuhi, maeneo ya Kimara Bucha katika barabara ya Morogoro ambayo inasemekana gari aina ya RAV 4 kupinduka, pia yakiwemo mabasi mawili ya daladala aina ya Isuzu Jorney na Toyota Hiace.

Mengine yaliyohusika katika ajali hiyo ni Toyota LandCruiser, Toyota Hilux, Nissan Patrol na RAV 4 ambayo yote yalikuwa yakitokea Mbezi kuelekea Mjini.

Source: http://www.nifahamishe.com
 
AJALI iliyohusisha magari yapatayo saba iliyotokea katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam imesababisha vifo na majeruhi kadhaa waliokimbizwa hospitali wengine wakiwa katika hali mbaya sana

Ajali hiyo imetokea leo asubuhi, maeneo ya Kimara Bucha katika barabara ya Morogoro ambayo inasemekana gari aina ya RAV 4 kupinduka, pia yakiwemo mabasi mawili ya daladala aina ya Isuzu Jorney na Toyota Hiace.

Mengine yaliyohusika katika ajali hiyo ni Toyota LandCruiser, Toyota Hilux, Nissan Patrol na RAV 4 ambayo yote yalikuwa yakitokea Mbezi kuelekea Mjini.

Source: http://www.nifahamishe.com

Ajali imesababisha vifo vingapi? na majeruhi wangapi? Je, hao walio kufa na majeruhi wamepelekwa hospital ipi?

Pole waliofiwa na pole majeruhi wote!
 
AJALI iliyohusisha magari yapatayo saba iliyotokea katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam imesababisha vifo na majeruhi kadhaa waliokimbizwa hospitali wengine wakiwa katika hali mbaya sana

Ajali hiyo imetokea leo asubuhi, maeneo ya Kimara Bucha katika barabara ya Morogoro ambayo inasemekana gari aina ya RAV 4 kupinduka, pia yakiwemo mabasi mawili ya daladala aina ya Isuzu Jorney na Toyota Hiace.

Mengine yaliyohusika katika ajali hiyo ni Toyota LandCruiser, Toyota Hilux, Nissan Patrol na RAV 4 ambayo yote yalikuwa yakitokea Mbezi kuelekea Mjini.

Source: http://www.nifahamishe.com

Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom