navajo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 580
- 881
Kaka mpaka leo unashindwa kufahamu marekani ndo mleta machafuko hapa ulimwenguni....kuna watu mnahitaji elimu ya ziada kuelewa huu ulimwengu unavyokwenda. Too sad.Na ISIS kwa hili watarudi tena kuipiga Iran, Iran imefadhili sana hawa ISIS sasa imewarudi..