Magaidi wanachafua dini

haya [HASHTAG]#scooman[/HASHTAG] usiguse hata siku moja, tena hata usijaribu , baki hivyo hivyo na huo ujinga, tena hata usithubutu kabisaaaaaaaaaaaa maana kwako kwajifunza ni sawa sawa na kula mkaa wa moto sasa usije ukaungua bure
baki hivyo bhana yani we kujua ukweli ni dhambi sa ucje ukaingia motoni bure.
yani kaa mbili na kuijua quran we cha kufanya soma hizo bangi za hao jamaa zako walozituka hapo halafu .
watoto wengine ni shida tu maana ukubwa wa bure akili kijiko.
 
Acha kupotosha.labda wewe ndo mpumbavu.
 
Inshaallah nashukuru kwa ufafanuzi uliotolewa imedhihirisha hayo ni ya kubuni na hayapo kwenye Dini yetu ya haki, Takbiiir
 
Haijaelekeza hivyo dini, na kumbuka hata baadhi ya watu wa karibu na mtumw hawakuwa waislam na hakuwapiga vita.
Ambao hakuwapoliga vita walilipa zaka/kodi kama kurani 9:5 inavyoelekeza. Na dakika za mwisho nguvu kumuishia ndo alianza kuomba poo. Kwa wale wanaojua utaalamu wa kusoma kurani wananielewa.
 
Pole bwana mikanzu ukweli unauma,jiwe la gizani baya sana ukigongwa nalo utakuja tu kwenye mwanga
Ukweli gani.hakuna aya zinazosema hayo.
Na mambo ya vita yalikuwepo kipindi kile.muhammad alipokuja kuufufua uislam.wapo makafiri waliowaua waislam.ndipo muhammad akaamuliwa apambane nao.
 
Ukweli gani.hakuna aya zinazosema hayo.
Na mambo ya vita yalikuwepo kipindi kile.muhammad alipokuja kuufufua uislam.wapo makafiri waliowaua waislam.ndipo muhammad akaamuliwa apambane nao.

Umeshinda sihitaji malumbano usiku kuamkia leo mmenisumbua sana kwenye ndoto usiku kutokana na kuquote kwangu jana,uchawi mpaka humu bwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…