Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kuwapukutishwa huko Lebanon.

Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kuwapukutishwa huko Lebanon.

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Magaidi wa Hezboullah waliokuwa wanasifiwa na Adiosamigo gallow bird gTurn Iceberg9 na Bwana wao Ritz sasa hivi wanacharazwa viboko na wao hawawezi kurusha hata jiwe kuelekea Israel maana wanajua kitakachofuatia.

Magaidi wa Hezboullah sasa hivi wanapigwa kama Ngoma!!



--------------

Mashambulizi ya awali ya jeshi la IDF kwa Hezbollah


 
Safi sana, maliza kabisa hizo takataka.
 
Chukueni silaha zao mlisema hakuna Hezbollah Sasa hao wametoka wapi? Kaskazini hurudi watu wanagwaya kurudi kaskazini ya Israel
 
Magaidi wa Hezboullah waliokuwa wanasifiwa na Adiosamigo gallow bird gTurn Iceberg9 na Bwana wao Ritz sasa hivi wanacharazwa viboko na wao hawawezi kurusha hata jiwe kuelekea Israel maana wanajua kitakachofuatia.

Magaidi wa Hezboullah sasa hivi wanapigwa kama Ngoma!!

--------------

Mashambulizi ya awali ya jeshi la IDF kwa Hezbollah


Chukueni silaha zao mlisema hakuna Hezbollah Sasa hao wametoka wapi? Kaskazini hurudi watu wanagwaya kurudi kaskazini ya Israel
Acha kudanganya watu wewe North walisharudi na shule tayari zilishafunguliwa!!
Mimi mwenyewe mwezi June,2025 tulitembelea maeneo ya kaskazini kulikuwa Shari kabisa magaidi wa Hezboullah walishanyooshwa mpaka wakanyoosheka.

Jioni ya leo hii June 21,2026 Magaidi hao wamepigika ile mbaya huko Lebanon kambi zao na maficho yao leo hii yamesambaratishwa na magaidi wengi sana Wame tang uliza kwa wale Mabikira fake walioahidiwa na mtume wao.

Angalia video hapo chini wanavyofumuliwa hadi utawahurumia mbwa hao!!!
 

Attachments

  • -1454867156334183719.mp4
    19 MB
  • 5020557604230967223.mp4
    3.2 MB
  • 6260357601933479140.mp4
    1.4 MB
Iran ndiyo nchi pekee ambayo baada ya kutandikwa kikamilifu na Israel mwakajana, sasa hivi GDP yake inashuka kwa kasi, sarafu yao nayo imeporomoka kwa kiwango cha ajabu. Watalaam mbalimbali wa masuala ya uvhumi wa ndani na nje ya Iran, wanasema kwa mazingira yalivyo, itakuwa ngumu sana Iran kusimama tena. Chaguo pekee ni kunyosha mikono, ili waondolewe vikwazo, la sivyo itakuwa mwanzo wa kusambaratika kwa kwa taifa, maana kwa sasa ni Taifa lisilo na matumaini.
 
Iran ndiyo nchi pekee ambayo baada ya kutandikwa kikamilifu na Israel mwakajana, sasa hivi GDP yake inashuka kwa kasi, sarafu yao nayo imeporomoka kwa kiwango cha ajabu. Watalaam mbalimbali wa masuala ya uvhumi wa ndani na nje ya Iran, wanasema kwa mazingira yalivyo, itakuwa ngumu sana Iran kusimama tena. Chaguo pekee ni kunyosha mikono, ili waondolewe vikwazo, la sivyo itakuwa mwanzo wa kusambaratika kwa kwa taifa, maana kwa sasa ni Taifa lisilo na matumaini.
Sasa hivi wanapumulia mashine!!!
 
Chukueni silaha zao mlisema hakuna Hezbollah Sasa hao wametoka wapi? Kaskazini hurudi watu wanagwaya kurudi kaskazini ya Israel
Hezbollah wanapigwa kama ngoma na hawadhubuti kurusha hata jiwe Israel mambo yamewaendea vibaya bwana wao Iran anapumulia machine kawaacha wapigwe kama ngoma!!
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2026-01-21 at 5.17.47 PM.mp4
    1.4 MB
  • WhatsApp Video 2026-01-21 at 5.14.44 PM (1).mp4
    6.7 MB
  • SnapInsta_to_AQMuhZn7x8W3tLOUR2p6X2Dc5_fvab6ehlErKD_IyDVKvCZ_STVOSynby1bF.mp4
    408.2 KB
Makobazi wa Manonga wanapita kwenye uzi huu kimya kama wanaaga maiti
 
Back
Top Bottom