KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,293
Kitendo cha Polisi kuonyesha hadharani jinsi ya kukabiliana na Ugaidi, kina tija?! Vipi kama magaidi nao wanaona hizo mbinu kupitia Tv? Je, sisi raia tupo salama?
Mwaka huu kila mtu atafanya usanii mradi amfurahishe blaza Magu. Teh tehKitendo cha Polisi kuonyesha hadharani jinsi ya kukabiliana na Ugaidi, kina tija?! Vipi kama magaidi nao wanaona hizo mbinu kupitia Tv? Je, sisi raia tupo salama?
Malekani= MarekaniNimecheka xana! Nchi kama malekani na ufaransa wanateswa na ugaidi wakati wana cctv hata misituni kwa wanyama ile huku hata tochi za point hazitoshi.Polisi siyo saizi ya magaidi,Jwtz al least.
Mazoezi wakafanyie Nigeria na Kenya.unafanyia mazoezi kanisani!!
Halafu wanamanisha ugaidi ukitokea raia wakashangilie?maana sijackia wakionywa kutosogea so watajua kwamba kwenye mazoezi waliitwa kushangilia vivyo hvyo ikiwa kweli.
Mwandishi alikuwa wapi hadi akawa anasafiri na askari? Askari walimuita muandishi akaambatane nao kwenye operesheni?
Ni Kama sinema vile.
Chanzo: ITV
Hawa jamaa walivozuiliwa gwaride la UHURU lazima watafute namna kupiga japo kidogo.
Kitendo cha Polisi kuonyesha hadharani jinsi ya kukabiliana na Ugaidi, kina tija?! Vipi kama magaidi nao wanaona hizo mbinu kupitia Tv? Je, sisi raia tupo salama?