Mafuta ya taa Dar es Salaam yaadimika,tatizo nini?

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,467
Tangu juzi mafuta ya taa hayapatikani madukani,kila duka unalokwenda unaambiwa hayapo na sheli hayapo pia.je tatizo nini? Au ni mtaani kwetu tu?
 
Mkuu nina week mbili sasa nafuatili mafuta ya Taa depot kule bandarini naambiwa hakuna mzigo .Nafanya hiyo biashara though sio ya mtaji mkubwa ila huwa nachukuwa lita 3000 lakini mpaka sasa sijapata mpaka nikaomba nipate hata lita mia moja ili wateja wasisahau ofisi yangu lakini bila bila.Nadhani yameumgana na sukari kugoma kuja nchini ili yatukomoe .
 
Back
Top Bottom