Njoo pale mtaa wa msimbazi kwenye jengo letu kesho saa mbili asubuhi kuna mafuta ya kupaka misuli yamebaki tunauza. Mwone Haji Manara au mpigie kwa maelezo zaidi))))))))
Ha ha haaa,
Inawezekana eeeee??
Lakini Mkuu Maeneo tuseme ya Mkuranga, Jaribu Mpakani, Bungu, Kibiti, Kilwa etc hao Simba watatokea wapi??
Pale wanaowindwa au kufukuzwa ni Kitimoto na Jamii ya Nyani (Ngedere, Tumbili, etc)
Ha ha haaa,
Inawezekana eeeee??
Lakini Mkuu Maeneo tuseme ya Mkuranga, Jaribu Mpakani, Bungu, Kibiti, Kilwa etc hao Simba watatokea wapi??
Pale wanaowindwa au kufukuzwa ni Kitimoto na Jamii ya Nyani (Ngedere, Tumbili, etc)