Mafuta ya majaribio Tanzania

Mafuta ya majaribio Tanzania

LENDEYSON

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
2,996
Reaction score
2,659
Wadau,

Nimekumbuka siku za nyuma kuna meli kubwa ya kikorea ilikuja kufanya utafiti wa mafuta katika eneo la bahari la Tanzania na utafiti huo ulizinduliwa na mtoto wa mkulima!

Baada ya muda kidogo wakasema watachimba mafuta ya majaribio kama mapipa kadhaa.

Baada ya hapo hatujasikia tena nini kiliendelea!je, mafuta yalipatikana au la?

kwa nini hatupewi updates kuhusu hilo, au ndo kama kawa shamba la bibi?
 
Utaambiwa haupaswi kuulizia suala hili kwasababu ni SIRI!
 
Utaambiwa haupaswi kuulizia suala hili kwasababu ni SIRI!

kama una ndugu yako mwanajeshi
mwambie akumegee siri.
yanatoka yakumwaga alakinii kunajimeli lakizungu linapeleka sample kilasiku ulaya.
huko hata waandishi wa habari hawaruhusiwi kufika...usafiri wa huko ni chopa,hata mitumbwi ya wavuvi hairuhusiwi
shamba la bibi hili jombaaa....
 
Back
Top Bottom