Tiba ya kupunguza matumizi ya Mafuta,
Usipike chips,
Usikaange samaki,
Nunua nyama iliyonona, nk
Watu wakiacha kununua Mafuta yatashuka bei. Mambo ya demand na supply. Nakumbuka wakati nakipiga cha uzeeni niliyakremu halafu hayakutoka[emoji1][emoji1][emoji1]