Mafunzo ya Wiki 6 ya 3D Character Animation

Mafunzo ya Wiki 6 ya 3D Character Animation

Paschal Ruta

Member
Joined
Jul 16, 2016
Posts
42
Reaction score
27
1144433


Ujuzi katika 3D Animation una mahitaji makubwa hapa duniani. Unaweza kuajiriwa katika makampuni ya Video Games, film au television. Pia unaweza pia kujiajiri mwenyewe ukafanya kazi kama freelancer. Soko la watu wenye ujuzi huu ni kubwa sana.

Karibu katika mafunzo mapya ya 3D Animation yatakayoanza Jumatatu 8 July, 2019, Mikocheni, Dar es Salaam.

Katika mafunzo haya utajifunza kila kitu kinachohusiana na Character Animation kuanzia Modeling, Rigging, Texturing hadi Animation. Mafunzo haya yatakuwa ya vitendo yatakayomuwezesha mwanafunzi aweze kwenda kutumia ujuzi alioupata mara moja.

Mafunzo haya yataendeshwa na mtaalamu wa Post-Production, 3D Animation na Visual Effects, Paschal Ruta kutoka kampuni ya Animation na Visual Effects, Natron Studios.

Baada ya mafunzo haya utaingizwa kuwa member wa PUGU Project ambayo ni Lifetime Mentorship Program iliyoanzishwa na inayosimamiwa na kampuni ya Natron Studios kwa ajili ya kukuza wataalamu wa baadae.

Software zitakazotumika ni Autodesk Maya, ZBrush na Adobe Photoshop.

Hakuna vigezo vyovyote ili kushiriki. Sifa kuu ni uwe na nia ya kujifunza, jitihada na ufahamu wa utumiaji wa computer. Wasichana wanapewa motisha sana wa kuhudhuria.

Gharama za mafunzo haya ni Tsh. 200,000/= na mafunzo haya yatakuwa kwa muda wa wiki 6. Mwisho wa kujiandikisha ni Ijumaa 5 July, 2019. Usichelewe, nafasi zilizotengwa ni chache.

Ili kujiandikisha au kupata maelezo zaidi, wasiliana na sisi kwa +255-762-688-222, +255-735-688-222 au kwa email info@natronstudios.com.
 
Daaah... Naikosa hii kitu dadeki
Ujuzi katika 3D Animation una mahitaji makubwa hapa duniani. Unaweza kuajiriwa katika makampuni ya Video Games, film au television. Pia unaweza pia kujiajiri mwenyewe ukafanya kazi kama freelancer. Soko la watu wenye ujuzi huu ni kubwa sana.

Karibu katika mafunzo mapya ya 3D Animation yatakayoanza Jumatatu 8 July, 2019, Mikocheni, Dar es Salaam.

Katika mafunzo haya utajifunza kila kitu kinachohusiana na Character Animation kuanzia Modeling, Rigging, Texturing hadi Animation. Mafunzo haya yatakuwa ya vitendo yatakayomuwezesha mwanafunzi aweze kwenda kutumia ujuzi alioupata mara moja.

Mafunzo haya yataendeshwa na mtaalamu wa Post-Production, 3D Animation na Visual Effects, Paschal Ruta kutoka kampuni ya Animation na Visual Effects, Natron Studios.

Baada ya mafunzo haya utaingizwa kuwa member wa PUGU Project ambayo ni Lifetime Mentorship Program iliyoanzishwa na inayosimamiwa na kampuni ya Natron Studios kwa ajili ya kukuza wataalamu wa baadae.

Software zitakazotumika ni Autodesk Maya, ZBrush na Adobe Photoshop.

Hakuna vigezo vyovyote ili kushiriki. Sifa kuu ni uwe na nia ya kujifunza, jitihada na ufahamu wa utumiaji wa computer. Wasichana wanapewa motisha sana wa kuhudhuria.

Gharama za mafunzo haya ni Tsh. 200,000/= na mafunzo haya yatakuwa kwa muda wa wiki 6. Mwisho wa kujiandikisha ni Ijumaa 5 July, 2019. Usichelewe, nafasi zilizotengwa ni chache.

Ili kujiandikisha au kupata maelezo zaidi, wasiliana na sisi kwa +255-762-688-222 au kwa email info@natronstudios.com.
 
Mimi ni graphics designer nataka kujua kwa mimi ambae najua photoshop muda wa training unaweza pungua na nikafundishwa peke yangu inawezekana ili kwenda fasta? Maana muda ni changamoto
 
Sasa mzee baba kuna RAIA hapa kama hawajui hats basic computer applications yeyote hata kushika kipanya hajui huyu MTU anaanzaje kujifunza kwenyw hiyo kitu?

Darasa LA saba je anahtajika?

Lazima MTu aje na PC yake?
 
Mimi ni graphics designer nataka kujua kwa mimi ambae najua photoshop muda wa training unaweza pungua na nikafundishwa peke yangu inawezekana ili kwenda fasta? Maana muda ni changamoto

Hilo linawezekana kabisa. Tuwasiliane tu kwenye namba au email niliyoweka hapo juu.
 
Sasa mzee baba kuna RAIA hapa kama hawajui hats basic computer applications yeyote hata kushika kipanya hajui huyu MTU anaanzaje kujifunza kwenyw hiyo kitu?

Darasa LA saba je anahtajika?

Lazima MTu aje na PC yake?

Sifa nimezitaja hapo juu. Kama ana nia kweli, apitie kwanza course ya computer halafu mengine yatafuata.

Karibu sana.
 
Endapo nitaweza kulitengeneza likatuni lenye sura ya Job, Bashite na baba yake wakicheza wimbo wa "CCM Mbele kwa mbelee"...nitajihesabu kama mhitimu niliyetukuka!
 
Back
Top Bottom