Wewe fanya kama vile wafanyavyo wengine hapa jukwaani. Yaani unaanza kueleza/kufundisha moja kwa moja namna ya kuflash simu mbalimbali kwa kutumia internet ama device Fulani....nadhani utapata wadau wengi sana wa kuwafundisha hapa na pia utakuwa umesaidia taifa lako nao watakuwa mabarozi kwa wengine, na wengine watajiajiri kupitia mafunzo yako...ktk historia yao watasimulia namna ulivyowasaidia. Piga jiwe moja kwa ndege wengi...utakuwa umewafikia wa Mby, Songea, Musoma, Mtwara, Kigoma nk