Naombeni msaada waungwana wa JamiiForum .
Nina amini humu kuna watu wenye taarifa .
Naomba msaada nahitaji kufahamu je mtu gani au taasisi gani inayo weza kutoa mafunzo ya kuzungumza lugha ya kiengereza kwa ufasaha zaidi tu . Pamoja na gharama zao na mahara wanapopatikana
Nina amini humu kuna watu wenye taarifa .
Naomba msaada nahitaji kufahamu je mtu gani au taasisi gani inayo weza kutoa mafunzo ya kuzungumza lugha ya kiengereza kwa ufasaha zaidi tu . Pamoja na gharama zao na mahara wanapopatikana