Mafundi wa simu badilikeni

kagombe

JF-Expert Member
Mar 1, 2015
3,508
1,642
Nasikitika sana ninapoona fundi anapopewa ushauri lakini unajifanya unajua mwisho unaharibu.

Niko zangu safarini nikaenda kuchaji simu, katika office moja wapo kuna fundi simu. Mteja kaleta simu hapo ile simu inawaka na kuzima akampa bei nikaona jamaa anaifungua ile simu nikamuuliza unataka kuifanya nini akaniangalia kwa dharau sana.

Nikamwambia hiyo ni software unachotaka kufanya kuipiga moto itazimua. Akanijibu we unajua nini nikabaki kimya akaipiga moto wa kutosha nikawa namuangalia na ninasubiri simu yangu iingie chaji.

Baada ya muda nawasikia wanaambia oya hii Samsung nimeizima nikamwambia nilikuambia sasa umemuharibia simu mteja na kuchafua fani ya watu, akaniambia same time ukipiga moto zinakubaligi.

Nikamwambia ukiona kazi huwezi bora uwe dalali kwa wenzio ilo sio kubahatisha usilojua madhara yake.

Mafundi tuwe tunasikiliza ushauri sio kila anayekuja office kwako hajui.
 
kagombe,

Sio tu kwa mafundi simu. Mafundi wote wanahitaji kutodharauliana na kutokujifanya wajuaji wa kila kitu.

Kwa kawaida hakuna mtu mjinga, hata kama ameanza kazi leo inawezekana kuna kitu ambayo anakijua lakini fundi mkongwe hakifahamu.

Kuwa fundi mzuri ni pamoja na kujifunza kupitia wengine hata walio chini yako.
 
Aaaaaah Aaaaah Mkuu Hili Ni Tatizo Sana

Watu Wanajifanya Wanajua KilaKitu Na Hawataki Ku Update Skills Zao

Samsung Software Yake Imekaa Kijinga Sana

Kitu Chochote Ukikizidisha Bac Ngoma Ina Reset

Unawasha Ngoma Haiwaki, Nishakutana Nazo Kama 20 Hivi Haswaa S6, Now Mtu Akija Nayo Naanza Kufurahi Kabla

Naiweka Charger Nafanya Hard Reset NashikiliaPower Button Na Volume Hata Dakika 2 Then Unashangaa LogoHiyo

SITAACHA HII KAZI.
 
Nasikitika sana ninapoona fundi anapopewa ushauri lakini unajifanya unajua mwisho unaharibu.

Niko zangu safarini nikaenda kuchaji simu, katika office moja wapo kuna fundi simu. Mteja kaleta simu hapo ile simu inawaka na kuzima akampa bei nikaona jamaa anaifungua ile simu nikamuuliza unataka kuifanya nini akaniangalia kwa dharau sana.

Nikamwambia hiyo ni software unachotaka kufanya kuipiga moto itazimua. Akanijibu we unajua nini nikabaki kimya akaipiga moto wa kutosha nikawa namuangalia na ninasubiri simu yangu iingie chaji.

Baada ya muda nawasikia wanaambia oya hii Samsung nimeizima nikamwambia nilikuambia sasa umemuharibia simu mteja na kuchafua fani ya watu, akaniambia same time ukipiga moto zinakubaligi.

Nikamwambia ukiona kazi huwezi bora uwe dalali kwa wenzio ilo sio kubahatisha usilojua madhara yake.

Mafundi tuwe tunasikiliza ushauri sio kila anayekuja office kwako hajui.
Huyo hakuwa fundi kanjanja tu watu hao wako kila sehemu
 
Nasikitika sana ninapoona fundi anapopewa ushauri lakini unajifanya unajua mwisho unaharibu.

Niko zangu safarini nikaenda kuchaji simu, katika office moja wapo kuna fundi simu. Mteja kaleta simu hapo ile simu inawaka na kuzima akampa bei nikaona jamaa anaifungua ile simu nikamuuliza unataka kuifanya nini akaniangalia kwa dharau sana.

Nikamwambia hiyo ni software unachotaka kufanya kuipiga moto itazimua. Akanijibu we unajua nini nikabaki kimya akaipiga moto wa kutosha nikawa namuangalia na ninasubiri simu yangu iingie chaji.

Baada ya muda nawasikia wanaambia oya hii Samsung nimeizima nikamwambia nilikuambia sasa umemuharibia simu mteja na kuchafua fani ya watu, akaniambia same time ukipiga moto zinakubaligi.

Nikamwambia ukiona kazi huwezi bora uwe dalali kwa wenzio ilo sio kubahatisha usilojua madhara yake.

Mafundi tuwe tunasikiliza ushauri sio kila anayekuja office kwako hajui.
Mafundi wengi wanatumia ujanja ujanja,hawahangahiki kujielimisha ili kuboresha vipaji vyao. technology changes with time!!!
 
kagombe,

Sio tu kwa mafundi simu. Mafundi wote wanahitaji kutodharauliana na kutokujifanya wajuaji wa kila kitu.

Kwa kawaida hakuna mtu mjinga, hata kama ameanza kazi leo inawezekana kuna kitu ambayo anakijua lakini fundi mkongwe hakifahamu.

Kuwa fundi mzuri ni pamoja na kujifunza kupitia wengine hata walio chini yako.
treu mkuu kila siku zinazaliwa solution mpya tukifanya kazi kwa mazoe huko mbele tutakwama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom