Ni muda mrefu sasa Azam TV inaonesha hali ya uchafu unaoingiliana na muonekana wa picha. Uchafu huo upo muda wote wa matangazo, ambapo awali mimi nilidhani tv yangu ina matatizo lakini kumbe tatizo hilo la kujivuruga kwa picha nililiona pia kwenye tv za jirani.
Lakini mara matangazo ya mpira ya CHAN kule Cameroun yalipoanza kwa kurushwa na tv ya ZNZ 2 hali ya kuvurugika kwa picha ilipotea kabisa. Ndipo nilipokuja kugundua sasa kuwa tatizo la kujivuruga kwa picha ni kwa Azam tu.
Sasa ni jambo la ajabu kuona hii hali ikiendelea kwa muda mrefu bila kufanyiwa marekebisho na mafundi wa Azam tv. Tatizo la Azam tv ni kwamba mtu mdogo akitoa malalamiko hayawezi kufanyiwa kazi hadi wakubwa waseme kuwa kuna shida kama hiyo ndio linafanyiwa kazi.
Tunatoa rai uongozi wa Azam waliangalie hili tatizo na kuliondoa.
Lakini mara matangazo ya mpira ya CHAN kule Cameroun yalipoanza kwa kurushwa na tv ya ZNZ 2 hali ya kuvurugika kwa picha ilipotea kabisa. Ndipo nilipokuja kugundua sasa kuwa tatizo la kujivuruga kwa picha ni kwa Azam tu.
Sasa ni jambo la ajabu kuona hii hali ikiendelea kwa muda mrefu bila kufanyiwa marekebisho na mafundi wa Azam tv. Tatizo la Azam tv ni kwamba mtu mdogo akitoa malalamiko hayawezi kufanyiwa kazi hadi wakubwa waseme kuwa kuna shida kama hiyo ndio linafanyiwa kazi.
Tunatoa rai uongozi wa Azam waliangalie hili tatizo na kuliondoa.